BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
1939 - Jaji Joseph Force Crater anatangazwa rasmi amefariki Dunia baada ya kutafutwa bila mafanikio baada ya kupotea kwa miaka 9.
Jaji Crater alipotea mwaka 1930 alipokuwa na kashfa za kisiasa na hakuwahi kuonekana tena, hali hiyo ikawafanya FBI na Polisi kumtafuta lakini baada ya miaka tisa toka kupotea kwake wakatangaza amefariki.
Jalada la Kesi yake lilikuja kufungwa miaka 40 baadae baada ya kupotea kwake.
OMBI:
Mkuu Bitoz itapendeza siku tukapata top 10 ya watu waliopotea na kushindwa kuonekana tena. Wapo akina Jimmy Hoffa na DB Cooper.
1946 - Chama cha mpira wa kikapu Marekani chaanzishwa.
Kilijulikana kama Basketball Association of America ( BAA ) kabla ya kuja kubadilishwa na kuwa NBA baadae.
Wewe upo jamvini tangu 2015 sasa huo ugeni sijauelewa.Hivi huku mnafurahia vitu gani,mbona mazungumzo yenu siyaelewi,jamani nimeuliza tu kwa sababu mimi ni mgeni huku
1968 - Robert F. KENNEDY anafariki Dunia siku moja baada ya kupigwa risasi huko Los Angeles alipokuwa anafanya kampeni za Urais.
The Kennedy Curse:
Huu ni msemo unaorejelea Vifo tata vya wanafamilia wa Kennedy.
Wanafamilia wengi wa Ukoo wa Kennedy wamekufa vifo vyenye utata mkubwa na vya kuhuzunisha. Inaonekana kama kuna watu kadhaa nyuma ya mpango huu wa siri ambao hawakuipenda kabisa familia ya Kennedy ishike madaraka ya aina yoyote nchini Marekani.
Amen mama mchungaji, nawe pia siku njemaISAYA 40
31."Bali wao wamngojeao Bwana watapata nguvu mpya;watapanda juu kwa mbawa kama tai;watapiga mbio wala hawatachoka.
TUOMBE
Baba asante kwa kutufikisha umbali huu,asante kwa wema wako na fadhili zako zisizo na mwisho.
Bariki kazi,ndoa,familia,wasafiri.
Ponya wagonjwa,watie moyo wafiwa ,yatima.
Tutie nguvu ya kukungoja wewe na kukutegemea siku zote za maisha yetu.
Baba tunakupenda,tunakuheshimu,tunakutukuza,kunakushukuru kwa yote tunayoyapitia..upo nasi daima Mfalme wa Amani.
Roho Mtakatifu tawala maisha yetu,tufundishe kusamehe,Upendo na uvumilivu daima
Katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu..Amen
MUWE NA SIKU NJEMA ,MBARIKIWE![]()
Haaaaahaaaa![]()
nimekumbuka kuna mtu aliquote mmu akaniambia shunie kuna mtu anakupenda makapuku ndio nikaja kuuliza
![]()
Poa poa ObeTuwe na wakati mzuri wadau, tutakutana baadaye kidogo, bosi kafika na ananiongalia kwa jicho la husuda
Pamoja sana bitozMchunga mbuzi sasa naingia kujinafasi + kufunga magoli km CR7 kupitia assist anazotoa Dikteta kwenye historia
.
.
.
Ahsante Lee kwa fact zilizotukuka
.
.
.
Ahsante kaka ake Lulu kwa magazeti
Spika Ndugai kazi imemshinda
...........
1993 - Mongolia yafanya uchaguzi wake wa kwanza wa Urais.
Pamoja mkuu
