Makapuku Forum

Makapuku Forum

Yaani nyie watu wawili tena ndugu zangu, tangu mwanzo nilijua tu hamuwezi kunisaidia kumpata BH maana mna histohisia na mukongo, anyway nimeridhika na asante.

Na ninamshauri waziri wa mazingira azuie uuzwaji wa maua kwani yanaharibu mazingira ya moyo wangu (ofkozi kama yanaletwa kwangu yatakuwa yakotreated yawe salama kwa afya ya mazingira)
Hahahaha
 
1939 - Jaji Joseph Force Crater anatangazwa rasmi amefariki Dunia baada ya kutafutwa bila mafanikio baada ya kupotea kwa miaka 9.

Jaji Crater alipotea mwaka 1930 alipokuwa na kashfa za kisiasa na hakuwahi kuonekana tena, hali hiyo ikawafanya FBI na Polisi kumtafuta lakini baada ya miaka tisa toka kupotea kwake wakatangaza amefariki.

Jalada la Kesi yake lilikuja kufungwa miaka 40 baadae baada ya kupotea kwake.

OMBI:

Mkuu Bitoz itapendeza siku tukapata top 10 ya watu waliopotea na kushindwa kuonekana tena. Wapo akina Jimmy Hoffa na DB Cooper.
 
Leo Katika Historia:

Daraja la Southwark lazinduliwa rasmi huko Uingereza na Mfalme George wa 5 na mkewe Malkia Mary.
46513c5fdb46cf1c89514cfc85b16079.jpg
26538f3c1d2fa4cae2c04cf7b7838b44.jpg

Limezinduliwa 1921
Lina upana wa Futi 55 na urefu wa futi 800
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom