Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hujui tu ninavyojisikia ukinisalimia kirejareja (retail-by mntioning my name) na sio kiujumla jumla (wholesale), yaani unanifanya najisikia vizuri kabisa na moyo badala ya kupiga ndu ndu ndu ndu unapiga kwa utaratibu unakubaliki na madakitari wa moyo nti nti nti.

Nimeamshwa salama sana, nashukuru kwa kuuliza. Nikwambie kitu kizuri cha kibinafsi?

Hujambo lakini?
Niambie Obe
 
sawa utakuwa mtu wangu wa kunisaidia kunitafutia huko kitaa wanawake wakuoa au sio?
lakini ni bora hii kuoa 4 mke unajua mume wako yupo wapi saa hzii kuliko kua pekeyako halafu ukawa una wasiwasi mume wako akaparamia wanawake kila aina .na mwisho wa siku akakuletea magonjwa
hapana aisee me siwezi hizo mambo tafuta tu utapata halaf kingine mwanaume hafugiki ni yeye na akili yake kama ataparamia sawa bora aparamie tu huko huoni wewe dini yako itakua inakuruhusu owa tu hao wa 4 wako
 
Maaaamamaaaaaaaaaaaa, dadeki nilijua tu lazima kuna mkono wa mtu wangu wa karibu. haiwezekani saa otomatiki isimame bila sababu ya msingi, saa inategmea solar na mapigo ya moyo isimame vipi na hali bado ninaishi.

Sasa roho yangu itatulia, na inabidi nikuletee uirekebishe isome majira ya leo. halafu Cheusi anakutafuta sana maana juzi aliibua ugomvi na kidawa mkorogo kisa eti sijui wewe (sikuwa na sababu ya kutowaamini)

Mama maflower katoroshwa mimi roho inaniuma tu. Na hata kujua kuwa katoroshwa nimejua leo wakati wengine mnataarifa tangu juzi
Hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom