Makapuku Forum

Makapuku Forum

Leo Katika Historia:

1949 - Thailand wanamchagua Orapin Chaiyakan kuwa mwanamke wa kwanza Mbunge katika Bunge la Nchi hiyo.
6cffde1dea666c85da99951f0d1ecb65.jpg
36a37ad77f008b0171a21ca1ca9892c3.jpg
 
1967 - Vita ya Siku Sita yaanza baada ya Israel kuishambulia Misri kwa kuishtukiza.
c3ce7135c5e89a3d3e33bc6d8169c671.jpg
4c21a9e01ca08a0fb3d5864da6d6e673.jpg

Ni miongoni mwa vita 10 fupi zaidi duniani
Ilijulikana kama 6 Day War ..Israel ilishinda vita na hivyo kujinyakulia Ukanda wa Gaza na Sinai Peninsula kutoka kwa Missri
Pia ikajinyakulia East Jerusalem kutoka kwa Jordan na Golan Heights kutoka kwa Syria
.....
 
1968 - Robert F. Kennedy anapigwa risasi na Mpalestina Sirhan Sirhan alipokuwa kwenye kampeni za Urais huko jijini Los Angeles. Na kufariki siku inayofuata.

Robert F. Kennedy alikuwa ni mdogo wake Rais wa 35 wa Marekani, John F. Kennedy ambaye naye aliuwawa kwa kupigwa risasi.
49e4ccac6dc25f29255456ea7b4ee803.jpg
2af0d897c4f1d9e353e0ad059f81fe1f.jpg

Kifo chake kina mkono wa CIA kama ilivyotangulia kwa kakaye
....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom