shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Ya mtogole nayo ni shida aiseePole sana ipogolo huko kwenu mvua ikinyesha bara bara hazifai
Ya mtogole nayo ni shida aiseePole sana ipogolo huko kwenu mvua ikinyesha bara bara hazifai
Asante mkuuLeo katika Historia:
Niwarakie siku njema.
Akija Nyagei nijulishesina hata nilichoelewa shemela ebu nieleweshe ulikua na maana gani
Mama mchuchu nimekumiss Mama yangu popote ulipo mwanao Shunie amekumiss zaidi flowers za binamu yangu obe asante tumechoka nayo mama

Ukoo wa majanga1968 - Robert F. Kennedy anapigwa risasi na Mpalestina Sirhan Sirhan alipokuwa kwenye kampeni za Urais huko jijini Los Angeles. Na kufariki siku inayofuata.
Robert F. Kennedy alikuwa ni mdogo wake Rais wa 35 wa Marekani, John F. Kennedy ambaye naye aliuwawa kwa kupigwa risasi.
RIP Ronald2004 - Ronald Reagan anafariki Dunia.
Alikuwa ni Rais wa 40 wa Marekani.
Waziri wa habari2015 - Tariq Aziz anafariki Dunia .
Alikuwa ni waziri katika serikali ya Saddam Hussein.
Asante kwa leo katika historia mkuu musoliniLeo katika Historia:
Niwarakie siku njema.
Leo tarehe 5/6/2017Inaonekana tarehe 6 June haina mambo makubwa saana.
Celebrity hawajazaliwa tarehe hii.
Asante sana Mussolin5 kwa kumbukumbu.
Nakuelewa sana tuUnajuwa ni kwanini DNA ikapigwa marufuku huku kwetu?
Good morning Lee. Jana ilikuwa siku ya ibada na kupumzika. Uko poa?Umeonaa? ?
Good morning
Uko poa lakini jana hujaonekana kipenzi
Niko pooouuuuwaaaa hofu kwakoGood morning Lee. Jana ilikuwa siku ya ibada na kupumzika. Uko poa?
Sijambo kabisa mkuuNiko pooouuuuwaaaa hofu kwako
Apoo guuudaaaSijambo kabisa mkuu
Asante kwa historia mwenyekiti
We na siku njema pia na wiki yenye mafanikio
Weka picha basi![]()
Pamoja sana MkuuInaonekana tarehe 6 June haina mambo makubwa saana.
Celebrity hawajazaliwa tarehe hii.
Asante sana Mussolin5 kwa kumbukumbu.
Pamoja MkuuAsante kwa leo katika historia mkuu musolini
haaha mzee wa kinyerezi kwako ni shida shemela mvua ikinyeshaYa mtogole nayo ni shida aisee
nyagei afanye nini sasa shemelaAkija Nyagei nijulishe
nimemmiss kweli mama angu mimi apa