Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,509
- 94,639
Kwa nin demi ??
Nipo mbona ...
nakutania tu. Lkn nakuona humu 24/7Kwa nin demi ??
Nipo mbona ...
nakutania tu. Lkn nakuona humu 24/7Waarabu hawana Umoja miongoni mwaoWaarabu mpaka leo huwa siwaelewi kuhusu kushindwa kwao katika vita hivi...
Kweli hujakosea mm kapuku uku ndo home kiukweli ...na michezo kule utanipata ila sinaga kampan kama uku ...![]()
![]()
![]()
nakutania tu. Lkn nakuona humu 24/7
Humu kuna mchunga kondoo na mchunga mbuzitupo powa sijui ww pole na uchungaji
MMU niliachaga zamaniKweli hujakosea mm kapuku uku ndo home kiukweli ...na michezo kule utanipata ila sinaga kampan kama uku ...
Sports analysis 'box to box '
Ata kwenye thread za movies....mmu kidogo ila pote nikishamaliza notification za kapuku
Nambie mke mweee nmekumic jaman,mme mweee wa Shululu hajambomke mwee
Nko poa pole na majukumuNiambie my swi
Hatujambo hbr ya hkoMbona leo huku kumepoa? Ni Monday blues ama? Natumaini kuwa kila kapuku hajambo...
Ulivyohama MMU ukahama na watu. Wengi wamehamia hukuMMU niliachaga zamani
Ndiyo Jukwaa linaloongoza kwa stori za uwongo
Huwezi kuamini nina zaidi ya miezi 3 sijaingia huko
Zaidi ya kuona vichwa vya habari kwenye New Posts
.......
Bora hapa tunataniana,kuburudishana,kupeana habari,kuelimishana n.kUlivyohama MMU ukahama na watu. Wengi wamehamia huku
Mimi niko poa. Unaambiwa huku Kolomije ni kula bata bataz tu kama huyu mwenyekiti wa kitongoji ambaye pia anatoka ukoo wa akina Bashitemsukuma sisi wazima hofu kwako



Mikwara yake ilikuwa hevi. Anakwambia "We have trapped the army of the infidels in the desert and starting tomorrow the patriots of the Republic of Allah - The Republican Guard - will start executing them one by one". Kumbe hao Republican Guard walishamwaga manyanga na kutokomea kusikojulikana. Akina Slow Slow hawa na Mwakyembe hata swaga hawana propaganda hizi nzito wataziweza wapi? Tarik Azziz alikuwa na charisma na ukimsikiliza kweli unaamini anachokisema.Namkumbuka jamaa alikuwa bingwa wa propaganda
Hadi kuna jina walimpachika
Akina Polepole na Mwakyembe itabidi wamuige
![]()
![]()
![]()
.....
Ni Usuni na Ushia au ni divide and get the oil policy ya Wamarekani?Waarabu hawana Umoja miongoni mwao
Yaani hawapendani angalia tu huko Afrika Kaskazini ushirikiano ulivyo baina yao!!
Hata kwenye soka tu ni vita Kali
.....