Vyama viwili vya upinzani nchini Rwanda vyamtangaza Rais Paul Kagame kuwa ndiye mgombea urais kabla ya chama chake kufanya hivyo
Kwa mara ya kwanza bunge la Afrika mashariki lapitisha bajeti ya dola milioni miamoja na kumi nukta tatu kukuza kiswahili
Polisi nchini Uingereza imewakamata watu kumi na mbili mashariki mwa London na wanaendelea na msako katika eneo hilo.
Leo ni kilele cha siku ya Mazingira duniani , hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro imeahidi kuendelea kutunza na kuboresha mazingira ya eneo la Mrusungu ambapo ndipo ulipo mti mrefu zaidi barani Afrika.
Bendi ya Abaki Simba nchini Kenya inatumia ala za asili na kuhamasisha amani huku ikiwataka vijana kutotumiwa na wanasiasa.
Lakini pia Utasikia vijana wabunifu wa programme za simu nchini Tanzania kurahisisha maisha, kwa namna gani? AMKA NA BBC ufaidikeHii inanitokeaga sana hasa kama siku hiyo natakiwa kuamka alfajiri sana. Naota kuwa nimeamka na nimeshafanya hicho kitu au kama ni safari nitaota na basi nimeshapanda. Ni hatari sana unaweza kupitiliza kulala!
Umeonaa? ?Hii inanitokeaga sana hasa kama siku hiyo natakiwa kuamka alfajiri sana. Naota kuwa nimeamka na nimeshafanya hicho kitu au kama ni safari nitaota na basi nimeshapanda. Ni hatari sana unaweza kupitiliza kulala!
Morning LeeGood morning wakuu ...
Soon tuone UF
Duh aisee
Asante kwa UF, nawe pia siku njemaTuwe na siku njema wakuu ...
Ila ni wewe tu ...![]()