Makapuku Forum

Makapuku Forum

e7cf81d9f5c3c5b93a44cf5b6938cd63.jpg
 
Baadae kwenye amka na BBC kwa wale wapenzi utasikiaa....



Vyama viwili vya upinzani nchini Rwanda vyamtangaza Rais Paul Kagame kuwa ndiye mgombea urais kabla ya chama chake kufanya hivyo

Kwa mara ya kwanza bunge la Afrika mashariki lapitisha bajeti ya dola milioni miamoja na kumi nukta tatu kukuza kiswahili

Polisi nchini Uingereza imewakamata watu kumi na mbili mashariki mwa London na wanaendelea na msako katika eneo hilo.

Leo ni kilele cha siku ya Mazingira duniani , hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro imeahidi kuendelea kutunza na kuboresha mazingira ya eneo la Mrusungu ambapo ndipo ulipo mti mrefu zaidi barani Afrika.

Bendi ya Abaki Simba nchini Kenya inatumia ala za asili na kuhamasisha amani huku ikiwataka vijana kutotumiwa na wanasiasa.

Lakini pia Utasikia vijana wabunifu wa programme za simu nchini Tanzania kurahisisha maisha, kwa namna gani? AMKA NA BBC ufaidike
 
Hii inanitokeaga sana hasa kama siku hiyo natakiwa kuamka alfajiri sana. Naota kuwa nimeamka na nimeshafanya hicho kitu au kama ni safari nitaota na basi nimeshapanda. Ni hatari sana unaweza kupitiliza kulala!
Umeonaa? ?
Good morning

Uko poa lakini jana hujaonekana kipenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom