Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Opray Winfrey
50b4634ac568f1c102c4a0bba941fff7.jpg
488c644273c5da0821b44a7ca61f8641.jpg

Alizaliwa katika familia fukara ya Single mother lakini akakomaa na kuja kuwa bilionea na mwendesha vipindi maarufu
Alibakwa utotoni na pia alipoteza kichanga chake sijui wakati wa kujifungua ndo mtoto walifariki
Ana vidole 6 mguu wa kushoto
.
.
.
.

.
Cha kujifunza wengi wao hao ni matajiri na walikuwa na uwezo wa kuviondoa vidole vyao ila wakaamua kujikubali na maumbile yao hata walipopata umaarufu au kuchekwa
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Aksante sana
 
1939 - Meli ya MS St. Louis iliyokuwa imebeba wayahudi takribani 900 inakataliwa kuingia jimboni Florida nchini Marekani hivyo inageuza kurudi Ulaya ambapo Wayahudi 200 kati ya hao 900 wanaenda kuuwawa katika magerezaya mateso ya NAZI.
bd3f14f80cb41bb1f5fd7e45bc58e855.jpg
c93962cebee0d093b818ded857c5e120.jpg

Walikuwa ni wakimbizi,walikuwa wanakimbia Mauaji waliyokuwa wanafanyiwa na Hitler na genge lake la NAZI
Walifuata tartibu ikiwepo kuomba VISA lakini wakakaushiwa na Rais wa USA enzi hizo Franklin D. Roosevelt akisingizia mdororo wa uchumi (Great Depression)
Hivyo kujikuta meli inageuza na kurudi huko kwao na Hitler kufanya yake
.....
 
bd3f14f80cb41bb1f5fd7e45bc58e855.jpg
c93962cebee0d093b818ded857c5e120.jpg

Walikuwa ni wakimbizi,walikuwa wanakimbia Mauaji waliyokuwa wanafanyiwa na Hitler na genge lake la NAZI
Walifuata tartibu ikiwepo kuomba VISA lakini wakakaushiwa na Rais wa USA enzi hizo Franklin D. Roosevelt akisingizia mdororo wa uchumi (Great Depression)
Hivyo kujikuta meli inageuza na kurudi huko kwao na Hitler kufanya yake
.....
So sad. Ingefanywa na Rais wa Nchi nyingine sidhani kama wangemsamehe!!
 
Safari na Muziki

Ni usiku sasa hapa kwetu, lakini JF na hasa Makapuku ni kama himaya ya Muingereza enzi hizo. Unaweza kuta saa hizi ni saa sita mchana sehemu fulani na wote tumo humu humu Makapuku.

Jukwani humu leo kama tulivyoona kulikuwa na vioja, well, kuna kutukanana na sababu, lakini kama mtu anakuja tu anaanza kutukana basi ukimtukana utakuwa umempa heshima. Ila kwa namna tulivyowaaacha tumeonesha kweli humu si mahali pa mchezo mchezo. Asante kwetu.

Furahiday kama kawaida, siongei sana maana sichelewi kuandika yale ninayopenda kiukweli, In vino veritas, (kwenye mvinyo, kuna ukweli). Na maongezi mazuri ni pale mnapoongea wote lock zimeactivatiwa kiweekend.

Tumwangalie mpiga gitaa na muimbaji mzuri wa kiingereza Michael David Rosenberg almaarufu Passenger, mshindi wa Tuzo za Brit Award kwa wimbo 'Let Her Go'.

hebu burudika wakati naangalie utaratibu wa namna gani nitaondoka hapa maana sipaelewi elewi hapa nilipokaa.

Nikutakie wikend Njema sana na sitochoka kukwambia, Wewe ni Mtu Muhimu Sana Hapa Makapuku Forum. LLL




Nimemwangalia Passenger naye nimeona ana vidole sita au well, sijahesabu sawasawa. Wakati wenzangu wanaenda na visoda kufundishwa kuhesabu mimi nilikuwa nachunga tu mbuzi

Aksante Fundi wa music!!
 
Aisee, huwa inaleta shida sana

Dada mmoja tulikuwa tunafanya naye kazi, alifariki gafla tu asubuhi mme wake akanipigia simu ya kunijulisha, muda huo huo nikatuma sms kwa watu wote wa ofisini, kila mtu aliniambia mimi muongo nani siku ya wajinga humpati mtu, walipoona funguo ninazo mimi wakasema tumefanya dili, baadaye manager ndio akatoa tangazo, hawakuamini
Duh, watu walijua utani!!
 
1979 - Luteni Jerry Rawlings anachukua madaraka ya Kuiongoza Ghana mara baada ya kupinduliwa kwa Jenerali Fred Akuffo katika Mapinduzi ya Kijeshi.
fec902bf7ba28c4d4981400bd5478bad.jpg
18b618270f4b77970b2e6d761b4637c0.jpg
99460a4eb76b93fbcb1a64cd6a6a263a.jpg
Alikuwa ni rubani kikosi cha anga Jeshi la Ghana
Wakati anafanya mapinduzi Alikuwa na umri wa miaka 32 tu
Baadaye anafanya Uchaguzi ili kujihalalisha kuwa Rais wa kidemokrasia na akawa Rais wa kwanza wa Jamhuri ya 4 ya Ghana
........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom