ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,280
- 5,987
Afya njema kinoma.Kweli kabisa,uhali gan lkn
Afya njema kinoma.Kweli kabisa,uhali gan lkn
Unapenda mashujaa eeh? A real ladyYaani muoga hivo hata simtaki
We unapenda awe KE au ME?Mtu gani huyo, mwanamke au mwanaume?
Wivu sunnaWivu huo mtoto wa kike eheee!
Asante mkuu kwa kutuletea hiki kitu ...ni kweli hawa watu wapo ata mm nina rafiki yangu ana vidole 6 vya mkono ..na sio jambo la ajabu apa tujikumbushe biolojia kidogo...1/Opray Winfrey![]()
![]()
Alizaliwa katika familia fukara ya Single mother lakini akakomaa na kuja kuwa bilionea na mwendesha vipindi maarufu
Alibakwa utotoni na pia alipoteza kichanga chake sijui wakati wa kujifungua ndo mtoto walifariki
Ana vidole 6 mguu wa kushoto
.
.
.
.
.
Cha kujifunza wengi wao hao ni matajiri na walikuwa na uwezo wa kuviondoa vidole vyao ila wakaamua kujikubali na maumbile yao hata walipopata umaarufu au kuchekwa
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
Mwanaume lazima awe shujaa kwa mwanamkeUnapenda mashujaa eeh? A real lady
Thanks Rafiki kipenzAsante mkuu kwa kutuletea hiki kitu ...ni kweli hawa watu wapo ata mm nina rafiki yangu ana vidole 6 vya mkono ..na sio jambo la ajabu apa tujikumbushe biolojia kidogo...
Hii hali ni mojawapo ya birth defects na inaendana na mambo ya genetic especially mutation ambapo tunasema mutation ni pale kunapotokea mabadiliko kwenye mpangilio wa na muundo wa chromosomes ambazo hii waga ziko mahususi kwa kutengeneza sehemu mbalimbali za mwili...
Twende sawa kapuku ...hii hali inaweza ikatokea either kwa mutations upande wa genes zenyewe au kwenye mpangilio "cis regulatory elements"
Hapa tunazizungumzia zile aina ya hoxa kwenye genes inapotikea itilafu ...na kitaalamu hii hali inaitwa polydactyly ambayo inaweza ikawa hexadactyly amabyo inasababisha kutokea kwa vidole 6 ...
Asantee
Jina sikumbukiInaitwaje hyo jaman![]()
![]()
![]()

Nampenda Halle Berry3/Halle Berry![]()
![]()
Ni mmoja kati ya wanawake weusi warembo
Ila wengi hawajui kama ana vidole 6 katika mguu wake wa kushoto
Ni mcheza filamu wa Kimarekani
.....
Nimeshapoa dear kila kitu kilienda salamaPole na msiba, natumai kila kitu kilienda vyema na mmemaliza salama
Inaitwaje?!mke mwee za ww kuna story mpya imeanza entertainment
Nimesikia ipogoloShunie kasikia .
Asante Bitoz1/Opray Winfrey![]()
![]()
Alizaliwa katika familia fukara ya Single mother lakini akakomaa na kuja kuwa bilionea na mwendesha vipindi maarufu
Alibakwa utotoni na pia alipoteza kichanga chake sijui wakati wa kujifungua ndo mtoto walifariki
Ana vidole 6 mguu wa kushoto
.
.
.
.
.
Cha kujifunza wengi wao hao ni matajiri na walikuwa na uwezo wa kuviondoa vidole vyao ila wakaamua kujikubali na maumbile yao hata walipopata umaarufu au kuchekwa
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane Jumatatu
Mwisho
......
umeamua kukomaa na mume wa mtuMi simoooo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hongera sana kwa kuhitimu masomo my dear, karibu tuijenge nchi yetu.Poa kabisa,
Nilikuwa masomoni nchini Israel ila kwasasa nimekwishahitimu. Thanks for asking my dear.... Miss u
Za majukumu?Njema shedede.
Mkuu hacha maswali nipe jibu, hii siyo mida ya kutafutwa na mwanaume, kama ni mwanaume mwambie tuonane kesho.We unapenda awe KE au ME?
ha ha ha ha ha ha ha.... Kamvua kananyeshanyesha nini maeneo yenu?Mkuu hacha maswali nipe jibu, hii siyo mida ya kutafutwa na mwanaume, kama ni mwanaume mwambie tuonane kesho.