Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Wengi tu yametukuta masahibu ya Fools DayKweli mkuu ....
Nakumbuka mwaka 2003 tareh moja april tunapigiwa simu kuwa anko kafariki wote tukapuuzia na ilileta mtafaruko wa familia ilichukua mda kusolve hiyo kitu ...make wengi walidhania hatutaki kushiriki msiba
Siku hizi sipuuzii taarifa natafiti kwanza
......