Makapuku Forum

Makapuku Forum

667a662ebac44b2731cc05c70b37470c.jpg
92270228f56d28d05c58c8af24562be3.jpg
f937cb1952bf410778ef19660da08b25.jpg
fd9c1a2d1a5e3c9d6a8bd4544519c3e7.jpg
a095de344d7399d710fa4238d6635d09.jpg
71fe1fd33c15ee5e603d2e06939ee61e.jpg
7d0c49f2f3f070dbe3910abda2b5895e.jpg

FACT:
Simba ya Pawassa na Matola illikuwa timu bora na kunyanyasa Afrika lkn Yanga tukafunga midomo

Simba ya Okwi na Mafisango ilikuwa balaa na kutupiga bao 5 ...Yanga tukaugulia tu maumivu

Yanga ya Ngoma ,Bossou na Kamusoko ni timu bora Afrika Mashariki kwa sasa cha ajabu Mkia wanajifanya hawajui hill
Kazi majungu tu
....................
 
Back
Top Bottom