Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
PowwaaaShem, mambo?
PowwaaaShem, mambo?
wee vipi unadandia treni kwa mbele?Nisaidie kufungua email imejifunga
Mkuu mambo imetaiti kimtindo asee ila kila dk inayopatikana tunahakikisha tunachungulia kijiwen hapa..Kaka hunitendei haki, huonekani kabsaa
Kaka ungo uliopanda haukupata dhoruba?Nikiletaga mnakataa
Mimi na Nahrene tunawatakia mchana mwema!!!😀😀
Bro mbona sikuelewi.

Sawa Mkuu, ngoja nije nicheck maana nilikuwa busy kidogo.Ingia kwenye mail kuna 3d moja nimekuwekea
Tupo tumejaa tele.wadau mpo.?
Maisha vipi shem wangu.Powwaaa
Kaz niaje bae??Nani yupo nyumba hii kwa wakati huu?
Hahaa...Upweke ukizidi....tafuta ht ng'ombe
![]()
![]()
![]()
![]()
............
Poa sana Mumy...Upande wako yanaendaje?Kaz niaje bae??