Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,932
Tres bienNgoja nichukue chopa yangu nije
Tres bienNgoja nichukue chopa yangu nije
Spanish ndo kwenyewe hukoNatokea Madrid weyeeh? Nipo, mishe zinanipoteza japo huwa nachungulia
mbona uelew
OkayTres bien
mhDogo naona unapima watu temper ama unatafuta ujuzi wa kutumia JF!

Mkuu acheni malumbanoFanya mambo mengine usinijazie sms kwenye inbox,umeomba samahani mara moja inatosha...Huna sababu ya kuendelea kuni quote!
Acheni malumbanoOndoa siwez vumilia shushu![]()
Mwambie tayari tupo 20k amataje shemeji yetuJimena una deni langu😡
Nakumbuka sanaJimena una deni langu😡
Mkuu acheni malumbano
Hapa ni One love
.............
Sasa km kakuPM kwahiyo unasema ili adharaulike?Mimi mbona mtu wa amani sana mkuu, dizain kama watu wa Jamaica... Pepere kaanza huyu mwana kwa kuquote sms ambayo kimsingi haikumhusu nilivyomjibu tu kakimbilia PM ni sms hadi kero sasa...andachoandika hata haeleweki ndo namwambia sipendi namna hii afanye mambo mengine!
Nakumbuka sana
Hao ni jinsia gani????
Kweli sio habari nzuri..... Nimeruhusu utupe nyavu kwingineko......Eeh!! Mwaga mambo hapa....ila i have this feeling kuwa hii itakuwa habari mbaya tuu🙄
Colabo ya kikeni na kiumeni kila mmojaHao ni jinsia gani????
Hiyo nayo ni shiiiiidaColabo ya kikeni na kiumeni kila mmoja
Hapo huwa unanitoa kavu! Mi chichemi nachuchuma kuchumba mhu nichemee hapa hapa nichemee pembeni???? chipm bana!!!!!!!