Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Mkuu Gentamycine swala umesha mtafuna, jilambe damu ukanywe maji mtoni then ukajilalie tu.

Mkuu Gentamycine swala umesha mtafuna, jilambe damu ukanywe maji mtoni then ukajilalie tu.

Umeshajiunga. Masharti kuzingatiwa.Sisi ni makapuku. Wote ni sawa. Tunapendana saaaanaaas.Makapuku fomu zinachukuliwa wapi nijiunge
Ila weweYeah
Umeongea kweli tupu.. Nawasalimu wote kwa upendo wa agape!!!!
T baadae, uwahi kurudi
Mkuu obe habari yako
Umeshajiunga. Masharti kuzingatiwa.Sisi ni makapuku. Wote ni sawa. Tunapendana saaaanaaas.
Nshamwachia mieIla wewe
Pesa yako anayo mdogo wakoo
Hakuridhika!Lakini tulikubariana uwe mshaurii wangu ...
Akiridhia niambie. Niko tayariLakini tulikubariana uwe mshaurii wangu ...
Niweke nin sasa wakati simu nshakununuliaa
Mi mzima mkuu nilikuwa nje ya mji kidogoMi mzima na nimekuulizia leoo
Kumbuka Australia ni bara na pia nchiMmmmh!! ya kweli haya
Mbona unaeleza kwa kwa uchungu sana mzee wa saa mpyanaamini leo umewaona wakuu humu Jukwaani, hizi ndo moja ya tabia zao, kutojua ni mahali gani wanaweza kuleta matusi na dhihaka zao, yaani hawaridhiki na kuwa kwenye majukwaa ambayo wameanza kutukanana halafu wanakuja humu na kuendeleza matusi (sio kwamba sisi hatutukanani, la. Kwa sababu hatutukanani)
Oh, hivi ninajibu salam yako au naeleza kuwa neno mkuu halinifai mimi. Yote kwa yote, ni vizuri kukuona humu
Sakayo mzimaNshamwachia mie
Kumbuka Australia ni bara na pia nchi
Hivyo imezungukwa na bahari pande zote
Pia ndo nchi/bara lenye maziwa/lakes mengi yenye maji ya waridi(Pink Lakes)
Hivyo hiyo ya beach siyo ishu ya kushangaza maana beach inaweza kuwa ya mtoni,baharini, ziwani![]()
![]()
.....
Nimeona FAKALAVA anaulizia nafasi hujampa?Mke wako mkali nimeamua nikae mbali. Mimi single bwana! Natafuta single mwenzangu tuyajenge!
Hata uwaambie nini hawaachiHawa jamaa kazi wanayo make ata jana niliona fact yake ulituwekeaa
Natanguliza samahanHalafu leo ndo nimeiangalia vizuri, asante kwa simu. Lakini, mbona ulininunulia simu haina chaja?
KaribuuMi mzima mkuu nilikuwa nje ya mji kidogo
Natanguliza samahan
Kiukweli hiyo simu sio mpya kabisa ...nilikutana na teja maeneo ya aggrey kariakoo akasema pesa ya njaa ndo nkakumbuka kipenzi bhinamu hana simu ...kwa kukupenda zaidi nkaitafutia kava ya kufunika na kufunua pamoja na skiriinii protektaa