GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,032
- 126,483
Report post zote zitafutwa na watu kupewa adhabu yao
Tatizo hamchukui hatua
.......
Bahati nzuri hata hao wanatoa adhabu siyo Wapumbavu kama tulivyo baadhi yetu na badala yake huangalia nani ni chanzo Kikuu cha Mtafaruku. Usiwafundishe Watu Kazi zao bali wao ndiyo wanajua Majukumu yao.