Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mkuu unaonaje ukaachana nae sisi haya mambo hatuyatakii huku hatujayazoeaa

Mkuu onesha busara zako ...

Wakuu
shimba ya buyenze
Bitoz
Transcend
Obe bhinamu
Na kapuku wote njooni tusaidianee kuwaelewesha hawa

Simba mwenye njaa halafu alikuwa kalala na ghalfa ukamuasha na mbele yake akakatisha Swala mnono unategemea nini hapo Mkuu?
 
Naona leo huku Makapuku hewa imechafuka. Tumezoea utangamano, utani na kusemeshana kwa staha. Uwanja wa kutolea stress...

Kwa sasa nadhani ni ku-ignore tu hii vita na obviously vita vya aina hii huwa havina mshindi. Sad! Very sad!
 
Mkuu unaonaje ukaachana nae sisi haya mambo hatuyatakii huku hatujayazoeaa

Mkuu onesha busara zako ...

Wakuu
shimba ya buyenze
Bitoz
Transcend
Obe bhinamu
Na kapuku wote njooni tusaidianee kuwaelewesha hawa
Dawa pekee ni ku-ignore. No likes no nothing. Baadaye watatulia wataondoka na kwenda zao. Acha watukanane watachoka...
 
Hacheni mambo yenu bana, mbona mnaharibu? Huu uzi una sheria zake.

Nadhani Mimi nimeshamalizana nae Mkuu na namwomba aendelee kunipiga Madongo atakavyo ila sitojisumbua nae kwani nina uhakika kwa dozi niliyompa itamuumiza kwa muda mrefu sana iwe yupo online au offline humu. Napenda nipigwe Madongo ya maana na siyo hayo yake ya Kitoto na Kipuuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom