Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ha ahahhahahaha, hapo ndo tunapopatianaga anko, maana umeandika kimkakati kabisa na uhakika wa ushindi.
Safari hii tusiongelee mambo ya viroba au monde, tuwe wataarabu kabisa sio kama siku ile umepiga tingasi ukamshika kalio yule mhudumu kisa kavaa sketi kama mwanafunzi wa sekondari
kalio tena hivi binamu uwe unafkilia vya kuongea ujue na ninajitoa kwenye swala la mama mchuchu uhangaike mwenyewe na mjomba ako mama mchuchu tumwachie mukongo wake
 
0a52f3a1c98c8277a020f64a360f6db2.jpg
 
kalio tena hivi binamu uwe unafkilia vya kuongea ujue na ninajitoa kwenye swala la mama mchuchu uhangaike mwenyewe na mjomba ako mama mchuchu tumwachie mukongo wake


Oh, usijitoe bhana, umekosea kusoma, sio kumshika kalio, ila anko alishika msimamo na kutoa karipio kali kwanini bartender yule alivaa nguo kama dent
 
Ha ahahhahahaha, hapo ndo tunapopatianaga anko, maana umeandika kimkakati kabisa na uhakika wa ushindi.
Safari hii tusiongelee mambo ya viroba au monde, tuwe wataarabu kabisa sio kama siku ile umepiga tingasi ukamshika kalio yule mhudumu kisa kavaa sketi kama mwanafunzi wa sekondari
Yaan bhinamu wala usiofu ata kama ustaarabu haununuliwii tutaazima bhinamu ..

Mama mchuchu mbona anakupenda na wewe na tokea kitambo upo moyoni mwake japo li jamaaa lile linajidaii tu ...

Yaan kumuonesha tuko siliasi tutaanza kurudi kanisani na zamu hii mpaka kanisa tutapangiwa zamu za kufagiaa

Alafu yule mganga wetu nasikiaa siku hizi watu wanamiminika kweli nyota anazisafishaa
 
Yaan bhinamu wala usiofu ata kama ustaarabu haununuliwii tutaazima bhinamu ..

Mama mchuchu mbona anakupenda na wewe na tokea kitambo upo moyoni mwake japo li jamaaa lile linajidaii tu ...

Yaan kumuonesha tuko siliasi tutaanza kurudi kanisani na zamu hii mpaka kanisa tutapangiwa zamu za kufagiaa

Alafu yule mganga wetu nasikiaa siku hizi watu wanamiminika kweli nyota anazisafishaa


Ha ahahhahahaha, tukimaliza kufagia afu tunaomba kujitolea kuhesabu sadaka kama kipindi kile umerudi toka nchi ya kigeni, sadaka zikapungua ulipoanza kuhesabu, walipokuondoa zikaongezeka. Sijui shida ilikuwa wapi, watoa sadaka au mhesabuji
 
kalio tena hivi binamu uwe unafkilia vya kuongea ujue na ninajitoa kwenye swala la mama mchuchu uhangaike mwenyewe na mjomba ako mama mchuchu tumwachie mukongo wake
Bhana tunamsaidiaa bhinam ayo mambo yalikuwa ya zaman kabla sijamaliza posa kwakoo ...na viroba vilikuwa havijakatazwaa...na uzuri + ubaya leo ni tbt ...throw back thursday
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom