Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ila yote tuombe Mungu aya mambo tuendelee kuyasikia pengine japo sio mazuri ata kwa hao ...

Acha tu tuendeleze nidhamu ya woga ...watu waliopitia kipindi hiki wana mambo mengi ya kusimuliaa

Achana na maigizo yaliyotoke kwa id aminii na nyerere ...kuna watu wanatahabikaa
Vita kati ya Kambarage v Idd Amin(Kagera War) ilileta mtikisiko mkubwa kiuchumi japo tulishinda vita
Baada ya vita uchumi ulidorora na watu kufunga mkanda hadi matundu ya mwisho
......
 
d515d7e28c59899dc353d0aa718166ac.jpg
After school bash inakaribia
Msisahau kumshtua dogo Le Mutuz aende tena kushiriki na kukaa siti za mbele km kawa

.....
 
Vita kati ya Kambarage v Idd Amin(Kagera War) ilileta mtikisiko mkubwa kiuchumi japo tulishinda vita
Baada ya vita uchumi ulidorora na watu kufunga mkanda hadi matundu ya mwisho
......
Ni kwelii mkuu japo nilikuwa mdogo ila nna kumbukumbu kidogo ...ila kiukweli tuombe aman ..uchumi ulidorora kwelii ila hatukufikiaa kwa hawa wenzetu tumshukuru Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom