Suala siyo puppets wala matakwa ya wananchi. Nchi ile ina migawanyiko ya kihistoria ya kale na kale na pengine ilihitaji mkono wa chuma kama wa Saddam kuiweka pamoja. Wakurd kule Kaskazini, Washia na Wasuni huku kwingine. Bado hujagusia migongano ya koo na uhasama wa kivyama. Jumlisha na ISIS naye yupo pale anakoleza mambo.Irak wamewekewa puppets
Sidhani kama wataacha kujitoa mhanga bila kuona serikali iliyochaguliwa kwa matakwa yao..
Nimesahau fainiii senkiii yuSio tu muhandsome, ila pia ninamiliki saa na simu ya tachi
Sina kabisa mdauSorry una-details zozote kuhusu ndege walioitengeneza wachina ambayo wao waliiuza nusu ya bei ya boeng tafadhari![]()
Ila yote tuombe Mungu aya mambo tuendelee kuyasikia pengine japo sio mazuri ata kwa hao ...Tena Putin km kawaida yake akaongoza mapambano...Wachachen wakaomba poo
Kumsamehe adui ni kazi ya Mungu lakini kumpeleka adui kwa Mungu ni kazi ya Putin
.....
Maelezo yako mazuriSuala siyo puppets wala matakwa ya wananchi. Nchi ile ina migawanyiko ya kihistoria ya kale na kale na pengine ilihitaji mkono wa chuma kama wa Saddam kuiweka pamoja. Wakurd kule Kaskazini, Washia na Wasuni huku kwingine. Bado hujagusia migongano ya koo na uhasama wa kivyama. Jumlisha na ISIS naye yupo pale anakoleza mambo.
Wachambuzi wengi kwa sasa wanakiri kwamba nchi ile haitawaliki na pengine suluhisho pekee la kuleta amani ya kudumu itakuwa ni kuimega sehemu tatu - Wakurd, Washia na Wasuni halafu kila mtu apambane kivyake. Tatizo ni kwamba utajiri wa mafuta upo hasa huko Kaskazini na kila mtu anapataka japo Wakurd wanasema ndiyo sehemu yao na hawataki tena kunyanyaswa kama enzi za Saddam. Ni kizungumkuti cha karne!
Hakuna kufunga mdomo apo.... Toa tamko
Usijifanyee umesahau ulikuwa unanishaurii nifanye nini mara kila jpili unanikumbusha nivae suruali za kosovo mifuko sita ..maraa hoo toa buku weka jeroooHa ahahhahahaha, tukimaliza kufagia afu tunaomba kujitolea kuhesabu sadaka kama kipindi kile umerudi toka nchi ya kigeni, sadaka zikapungua ulipoanza kuhesabu, walipokuondoa zikaongezeka. Sijui shida ilikuwa wapi, watoa sadaka au mhesabuji
anaonyesha tuKama ulikuwepoo
....au mkongo kampa limbwata mama mchuchu ? Maana unasema kweli bhana
Kwani limbwata sisi tunashindwaa??
tatizo sio uhandsome mama mchuchu huwa hamuelewi kabisa binamuNa mm namuonaa
Ila obe bhinamu mbona naye ni muhandsomee....
Mwambie atoe tamko... Hatutaki vionja mchuzi.
Mmh binamuOh, usijitoe bhana, umekosea kusoma, sio kumshika kalio, ila anko alishika msimamo na kutoa karipio kali kwanini bartender yule alivaa nguo kama dent
Sio tu muhandsome, ila pia ninamiliki saa na simu ya tachi
nilimiss habari za saa hivi haijaibiwa
Mbona unamsemeaatatizo sio uhandsome mama mchuchu huwa hamuelewi kabisa binamu
huo mstari wa mwishi ndio umeharibuYaan bhinamu wala usiofu ata kama ustaarabu haununuliwii tutaazima bhinamu ..
Mama mchuchu mbona anakupenda na wewe na tokea kitambo upo moyoni mwake japo li jamaaa lile linajidaii tu ...
Yaan kumuonesha tuko siliasi tutaanza kurudi kanisani na zamu hii mpaka kanisa tutapangiwa zamu za kufagiaa
Alafu yule mganga wetu nasikiaa siku hizi watu wanamiminika kweli nyota anazisafishaa
kwahiyo zamani ndio ulikua unashika makalioBhana tunamsaidiaa bhinam ayo mambo yalikuwa ya zaman kabla sijamaliza posa kwakoo ...na viroba vilikuwa havijakatazwaa...na uzuri + ubaya leo ni tbt ...throw back thursday