Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
hahahhh![]()
![]()
jitume sasa mambo ya kugonga like na kuondoka unatuangusha buana
![]()
![]()
hahahhh![]()
![]()
jitume sasa mambo ya kugonga like na kuondoka unatuangusha buana
![]()
![]()
kama sijakuelewa hivi kwahiyo Dada ndio basi tena na T inaonyesha ukilewa zinakimbilia hukoAiseee huku kuna watoto wakali...
Loo
Niombe shem
Muziki ni Kuwekeza.
Hivi kila ninapoandika haka kakipengele ni lazima nianze na salamu! Huna haja ya kujibu maana sijauliza swali. Habari za mihangaiko Makapuku wenzangu, najua wote tuko vema sana.
Ni tarehe moja na ndo inakatika, najua wapo ambao hawajarudi home maana mama/baba mwenye nyumba hajalala anasubiri kodi. Hongera kwa wamiliki wa nyumba wote mlio humu, na mtushukuru sana sisi wapangaji wenu tuliotulia tu humu, mngeitwaje baba/mama mwenye nyumba kama sio sisi? Heshima kwetu wapangaji 😀
Kiukweli leo niwe mkweli kwenu, sikupanga kuandika kitu kutokana na sababu zilizo ndani ya uwezo wangu. Lakini kutokana na vitisho vya mjomba wangu lee empire kuwa nisipoandika atanitoa kwenye plan ya simu (kajiunga na jazwa ujwaze ya Tigo, kaunganisha line nne, anajazwa anatupunguzia salio sis family yake, ila uko makini kama makinikia kutofanya mchezo na Tanesco na plan yao ya 'acha kulipa,....., asante mjomba).
Kisa cha mimi kuandika leo ni 'matters of the heart' kwa sana na nikaona ana hoja ambyo siwezi kuipuuza, mimi sio mpuuzi. So, akaniambia sisi Makapuku ni family na mwenzetu anapofikwa na la kumfika iwe yeye mtu wake wa karibu nasi tukajua basi tunasema pole kwa pamoja. Na anapoondoka na kurudi basi tunafurahi kwa pamoja na ndicho ninachofanya leo kwa ajili ya Shunie nikiwajumuisha wote waliopatwa na ya kuwapata bila kupakatwa.
Kikawaida katika kuitafuta Furahiday huwa napenda kuweka kitu motomoto, kitu cha mikatiko kama si mitikisiko, praktaratumbaa. yeah, kitu Yondo sister na gitaa la Alain Nkounkou.
Lakini leo ninaweka kitu maalum kwa member wote wa Makapuku ambao kwa sababu tofauti waliondoka humu jukwaani na wamerejea tuko pamoja nao, karibuni na it is so good to see you back.
Nitamuelezea siku nyingine maana sitaki kuandika sana kuhusu yeye bali nakuacha ufurahie gitaa tamu na sauti nzuri toka kwa mkongwe Don Williams.
Karibu
Sijamsikia, itabidi nikae chini nimsikize, au kaniharibia! Maana huyu mjombaangu full matatizo si kaenda kumwambia BH kuwa tuliendaga kwa mganga wa kienyeji kuangalia nyota, huku akijua kabisa BH na wapiga ramli ni kitumbua na mchanga.

Binamuuuu sitaki bana flowers lazima tupate hatutakiwi kukata tamaaUnafikir huwa najiondokea tu, huwa nakaa ninajibanza mahali halafu naondoka. Naridhika na asante,
KwemaaKwema Humu?
KivirugeeeMh umemfanya nini mpaka akuzime simu au umeshalewa balimi
Haya ni mambo ya kifamilia, ha hahahhahahaha. Tuko kimkakati zaidi
Asante mkuu tumepata na kujikumbusha matukio haya1/September 11 attacks![]()
![]()
![]()
Hhi wala siandiki maneno mengi...kila mtu anajua alichokifanya Osama Bin Laden mwaka 2001 lakini mwisho wa siku akasakwa na kuuawa
Watu karibia 3k (2996) walifariki huku zaidi ya 6000 wakijeruhiwa
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
..........
Ashaachaa![]()
![]()
binamu umemsikia mjomba ako sio unakuja kwa mama mchuchu na kugonga like tu
Apa ni kukamata fursa japo na limukongo lina mchango wake kwetuuhaahha mke mwee binamu ni ndugu yetu hatutaki kumwangusha
Timu ya kumng'oa mukongo![]()
![]()
jitume sasa mambo ya kugonga like na kuondoka unatuangusha buana
![]()
![]()
Wewe jamaa upo?Kwemaa
Kivuruge wako anakuitamm sijamuona leo kabisa
Pamoja Mkuu1/September 11 attacks![]()
![]()
![]()
Hhi wala siandiki maneno mengi...kila mtu anajua alichokifanya Osama Bin Laden mwaka 2001 lakini mwisho wa siku akasakwa na kuuawa
Watu karibia 3k (2996) walifariki huku zaidi ya 6000 wakijeruhiwa
.
.
.
.
.
.
Shukrani kwa mliosapoti mada
Tukutane kesho
..........
Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoaSijamsikia, itabidi nikae chini nimsikize, au kaniharibia! Maana huyu mjombaangu full matatizo si kaenda kumwambia BH kuwa tuliendaga kwa mganga wa kienyeji kuangalia nyota, huku akijua kabisa BH na wapiga ramli ni kitumbua na mchanga.
Ulikuwaa hujuiiikama sijakuelewa hivi kwahiyo Dada ndio basi tena na T inaonyesha ukilewa zinakimbilia huko
NakuaminiaaaBinamuuuu sitaki bana flowers lazima tupate hatutakiwi kukata tamaa
miss u kivuruge wanguKivirugeee
