Makapuku Forum

Makapuku Forum

Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa

Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...

Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..

Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...

Asante Mama mchuchu wa obe
halaf mama mchuchu ukimuuliza habari za binamu anakupotezea ye anamtaka mukongo tu
 
Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa

Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...

Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..

Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...

Asante Mama mchuchu wa obe



Ha ahahhahahaha, hapo ndo tunapopatianaga anko, maana umeandika kimkakati kabisa na uhakika wa ushindi.
Safari hii tusiongelee mambo ya viroba au monde, tuwe wataarabu kabisa sio kama siku ile umepiga tingasi ukamshika kalio yule mhudumu kisa kavaa sketi kama mwanafunzi wa sekondari
 
851dca774e09efc660a7f8e3faf1c132.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom