Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
![]()
![]()
![]()
Bhinamu yote tunamkabidhii atupendae sote na amesema "wapendeni wenzenu kama navowapena mm" wewe unampenda mama mchuchu kwa nini asikupendee

![]()
![]()
![]()
Bhinamu yote tunamkabidhii atupendae sote na amesema "wapendeni wenzenu kama navowapena mm" wewe unampenda mama mchuchu kwa nini asikupendee

Najua ulippooo sitakii nikuchokozeeWewe jamaa upo?
mukongo ana msaada sana kwetu au tumwachie tu mama mchuchu wake ujue mama mchuchu nae anampenda mukongoApa ni kukamata fursa japo na limukongo lina mchango wake kwetuu
hivi umeshalewaWewe jamaa upo?
nipo mimi nimekuja kwa kivuruge wanguKivuruge wako anakuita
Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa
Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...
Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..
Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...
Asante Mama mchuchu wa obe
halaf mama mchuchu ukimuuliza habari za binamu anakupotezea ye anamtaka mukongo tuAsante Bitoz
Asante mkuu tumepata na kujikumbusha matukio haya
Pamoja wadauPamoja Mkuu
kazi ipo ila ndio wanaume walivyoUlikuwaa hujuiii
![]()
![]()
![]()
Bhinamu yote tunamkabidhii atupendae sote na amesema "wapendeni wenzenu kama navowapena mm" wewe unampenda mama mchuchu kwa nini asikupendee

Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa
Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...
Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..
Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...
Asante Mama mchuchu wa obe
Nakuaminiaaa
halaf we ndio umenifundisha hizi mambo nilikua sipendi
MhNajua ulippooo sitakii nikuchokozee
mukongo ana msaada sana kwetu au tumwachie tu mama mchuchu wake ujue mama mchuchu nae anampenda mukongo
Kama ulikuwepoohivi umeshalewa
![]()
halaf mama mchuchu ukimuuliza habari za binamu anakupotezea ye anamtaka mukongo tu