Bhinamu kipenz kwanza nikukumbushe ile simu uliyotaka ubadirishe ntaileta panapo majaliwa Mungu akijaliaa ...shaka ondoa
Asante kwa nyuzi ya leo make najua umejazwa vilivyo na bando za tigo na ni matumaini yangu ata BH umempigia kwa viber make nilikufundisha wasiwasi wangu sijajuaa kama ulikumbuka kuzima data make kila siku unadai simu inakata chaja haraka ...
Anyway mama mchuchu wala usiofu make imeandikwa samehe saba na 77 japo hesabu ya kuzidisha table sikumeza ilikuwa inaaishia 12..
Kuhusu kumwambia Mama mchuchu mambo ya mganga mbona ilikuwa zaman ata viroba havijakatazwa yawezekana nilikuwa nishafungua lock ...
Asante Mama mchuchu wa obe