Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
MhShunie is back... ...whr is Sakayo.... Unajua ni 'mshenga' wangu?
Mbona kawaida tu
Na kwako pia Shunie.Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana![]()
inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote![]()
Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea![]()
Nilikumiss sana kivuruge wangu![]()
Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika![]()
Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema![]()
Wewe mmi tabia tutarekebishanaa
ni wewe unaeangalia sura wenzio hawaangaliagi hivyoShemela anafikisha taarifa kama zilivo hataki konakonauchochezi upi mke mweena wakati nilikuona unahangaika na masufulia

we ndio kivuruge wanguKarudii kicuruge changuu
me siku hizi wala sikuvurugiIla mm huyo namuona mbaya shedy baby anasema mzuri kuliko husna ....
Mungu aniepushie mawazo niliyonayoo
uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu shemela
sitakiNdo unachokitakaaa

Rafiki kipenz hebu... Hii term "upuuzi wa Lee" ina maana gani?Nyie nshawajuaa mnatakaa "upuuzi wa lee" mapema
Wakafiee huko ...au ndo ile una mtu wako unashindwa kutembea nae njian mnapanda daladala tofauti mkisingizia eti ajar isije kutokea tuko wotee...![]()
![]()
ni wewe unaeangalia sura wenzio hawaangaliagi hivyo
Ujue nina kama week sipo cuzoo ndio nimerudi leo nilifiwa ebu ngoja tumsubiliCuzoo yule jamaa aliishia wapi?
kweli mke mwee
Mbona hatumuoni.... Au umejazwa na wewe ukamjaza![]()
![]()
![]()
tigo cio watu wazuri
Wewe mnaongopeanaaa![]()
![]()
uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu shemela
MorningMorning all