Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mbona kawaida tu
9601dd885605d8d94083bfd614f155b8.jpg
 
Morning all
Niliimiss sana hii familia, asanteni sana sana kwa pole na salaam mbarikiwe sana

inauma sana katika familia kupoteza watu wawili muhimu ndani ya siku moja hatuwezi kumkufuru Mungu yeye ndio anajua kwa nini imekua hivyo Mungu baba muweza wa yote

Lee wangu nakushukuru sana kwa kuwa na mimi bega kwa bega katika kipindi hiki kigumu
Mungu azidi kukubariki na Mungu azidi kuniwekea
Nilikumiss sana kivuruge wangu

Tunamshukuru Mungu tulisafiri salama na kurudi salama kutoka Tanga kuzika

Mbarikiwe sana muwe na siku iliyo njema
Na kwako pia Shunie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom