Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,812
- 20,223
- Thread starter
- #41
Kuna watu humu jamvini wanasema hivyo, aisee haiwezekani.
Yanga FC waondoka rasmi Uwanja wa Mkapa
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo saa 11 jioni na kupelekwa mbele saa 1 jioni Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
www.jamiiforums.com