Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,931
- 31,173
Mjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Nilifikiri ni mimi mwenyewe nimeliona hilo 😂😂😂
Mjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Mkuu Chato yupo mama wa marehenu mama Suzana
Kweli, ameonjwa onjwa sana sijui kwanini hakuna aliyemganda, wote wanaonja karanga na hawanunui
Amenawili kweli tangu yule mwenye roho mbaya aondoke, hii inaonyesha alikuwa Hana amaniMjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Ndio muende na nyinyi wasukuma mkampe poleNgoja niwachochee kwa kuwauliza; ni kesi ngapi ambazo mnazijua ambapo baba amefariki ghafla na familia ikabakia salama? Wangapi mnajua maneno yanayotokea baada ya mtu mkubwa/tajiri/maarufu kufariki ghafla? Kuna maswali hapa yakija kuulizwa watu wataanza kutiwa pingu... ni vizuri waendelee kumjulia hali na kujua hali yake ya kiakili ikoje na familia inasemaje... vinginevyo asije akanung'unika...
Kama hata mume hakuruhusiwa kumuona mtoto ina maana walishaachana au? Maana kama bado wanaishi pamoja imekuwaje asimuone mtoto.Yule mtoto hajawahi kuonekana, kwani hata hospital kwenyewe kipindi amejifungua tyuuh, hakuruhusiwa yeyote kumuona hata mumewe, ila jiwe alienda na Ali ruhusiwa kumuona. Heeeh
Ila amepotea ghafla San ktk ulimwengu wa siasa lol.
Sio lazima apendwe na kila mtu. Hata Yesu alichukiwa sembuse yeyeHumjui vizuri. Ni mtu mwenye roho mbaya. Ni mmoja aliyeumiza wafanyabiashara wengi sana alipokuwa waziri wa fedha.
Aliyempendekeza awe makamu wa rais ana walakiniMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.
It is okay and human. I notice; there is some social distance between the two.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.
Ukiiona picha ya pili ikiwa nzima yaani pasipo kukatwa utagundua kwa nini. Itafute uione.Mjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Nimesema hospital wakati pindi alipojifungua, kabla ya kupewa ruhusa ya kurudi nyumbani, kuwa muelewa.Kama hata mume hakuruhusiwa kumuona mtoto ina maana walishaachana au? Maana kama bado wanaishi pamoja imekuwaje asimuone mtoto.
Ile yenye burungutu?!Ukiiona picha ya pili ikiwa nzima yaani pasipo kukatwa utagundua kwa nini. Itafute uione.
Wewe umesema.Ile yenye burungutu?!
Shida sio burungutu ila amani na furaha alivovikosa muda vimerejea....
Tena ni mkubwa sana na wa Hatari mno.Itakua kuna mgogoro
Itakuwa ni sehemu ya malisho ya ng'ombeDuuuh,
Siyo Chato tena ni masalia?
Kwa hiyo uwanja wa ndege Chato , matumizi yake yatà kuwa yapi?,
Siku hizi kuna shida ya tafsiri.Mke anaitwa Mama,Mama mzazi naye Mama.Aaah! niliposoma kumjulia hali Mama Magufuli nikaunganisha na kauli ya Mwanae 'mama anaumwa''
It's OK