PM alihostiwa na nani
Heeeeh kwan magufuli wale watoto kazaa na wanawake zaidi ya m1? Afu mbna pale msibani waliotangazwa na kuonekana ni 7 tyuuh.? Duuuh sikua najua hili mweeeeh, maskini km hakuweka wazi kwa watoto mbona itakua pata potea.Watoto 11 mama mbali mbali si ajabu hata huyo Joseph hajui kila kitu na hasa kama hakuacha will na Watanzania walio wengi hawana utamaduni wa kuwa na will.
Kwanini Mjane alitoka upesi Chato na kurejea Dar es Salaam hivi? Sidhani kama kuna Uhusiano mzuri kati yake na Ndugu wa Hayati na huenda kuna Matukio yamemtisha na Kumkimbiza huko Chato.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.
Yule mtoto kwani sie wa mwendazake? Mbna tetesi zilisikika kua ni wa uncle, hadi mumewe anajua hilo.Hivi cheupe nae alipewa mtoto au zilikua story tu? Sijamsikia muda amepoa kama hayupo, hata msibani sikuiona sura yake....
maisha ya kudanga na kudangwa sio mchezo.Nilishangaa ghafla kapotea kwenye ramani kumbe alizingua teh
Atakua alikua anampenda sana, si unajua wasukuma kwa wanawake weupe hauwaambii kitu
Nami nilisikia hivo ila sijawahi kumuonaYule mtoto kwani sie wa mwendazake? Mbna tetesi zilisikika kua ni wa uncle, hadi mumewe anajua hilo.
Yule mtoto hajawahi kuonekana, kwani hata hospital kwenyewe kipindi amejifungua tyuuh, hakuruhusiwa yeyote kumuona hata mumewe, ila jiwe alienda na Ali ruhusiwa kumuona. HeeehNami nilisikia hivo ila sijawahi kumuona
Mama wa watu mpole, mnyenyekevu, mwenye heshima na kujitambua, hana mambo ya ufuska au uzinzi. Mama bora sana huyu.Jf siku hizi full adabu au sababu Mama hakuwa na makeke sijaona comment hata moja ikisomeka Jimbo huru...
Watu mnanogwa ninyi!?.Mjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Humjui vizuri. Ni mtu mwenye roho mbaya. Ni mmoja aliyeumiza wafanyabiashara wengi sana alipokuwa waziri wa fedha.Mzee Philip Mpango ni mtu mmoja muungwana sana. Uungwana wake sio wa maigizo kwa maana yupo hivyo miaka nenda rudi.
Doh lazma aliemuona ndio baba mtoto mwenyewe, haya ndio kishadanja sijui sahivi hali ya ndoa ikoje....kazi kweli kweliYule mtoto hajawahi kuonekana, kwani hata hospital kwenyewe kipindi amejifungua tyuuh, hakuruhusiwa yeyote kumuona hata mumewe, ila jiwe alienda na Ali ruhusiwa kumuona. Heeeh
Ila amepotea ghafla San ktk ulimwengu wa siasa lol.
Haumuoni mama kanawiri?Watu mnanogwa ninyi!?.
Afu inaonekana yule cheupe wakati akiwa na uhusiano na uncle, alikua haiheshimu na kuithamini ndoa yake. Ndo maana kijana wa watu alikua mnyonge sana yaan.Doh lazma aliemuona ndio baba mtoto mwenyewe, haya ndio kishadanja sijui sahivi hali ya ndoa ikoje....kazi kweli kweli
Huyo mmama nae hamnazo kuiweka rehani ndoa kiasi kile, kama bado ipo hiyo ndoa akatoe sadaka...Afu inaonekana yule cheupe wakati akiwa na uhusiano na uncle, alikua haiheshimu na kuithamini ndoa yake. Ndo maana kijana wa watu alikua mnyonge sana yaan.
Hivi umesahau cheupe DC alivomfukuzisha kazi DAS, kisa uhusiano nae huku na uncle yupo kati,
Ila uncle alikua na wivu jamani lol, utadhani aliwaoa mweeeh