Makamu wa Rais Dkt. Mpango amtembelea Mjane Janeth Magufuli

..kwanza nilimuona mtoto wa Magufuli akisema mama yao hajisikii vizuri tangu mzee alipotangulia.

..baadae nikaona habari ya PM Majaliwa kupita Chato akielekea Kigoma. Na nadhani watoa habari walisema amekwenda kumjulia hali mama magufuli[ janet]. And it made sense ukizingatia hotuba ya kijana wake.

..sasa kama Mama Janet yuko Dar na anaelekea kuwa kuwa anaendelea vizuri nadhani hilo ni jambo la kushukuru. Pia nadhani kwa mila zetu Watz ni vizuri watu wa karibu na Magufuli wakaendelea kumtembelea na kumfariji.

NB.

..Tusisahau kwamba Mama Janet anaweza kutumika kama MTAJI WA KISIASA.

..Tuwe makini kuchambua wanaokwenda kumfariji, na wanaomtumia kama mtaji wao wa kisiasa.


Cc Nguruvi3
 
Mzee kuna kitu nadhani usije kuwa umesahau ulikisema...
Miaka ya nyuma Nyerere aliwahi kuzungumzia kuhusu matumizi ya neno '' Mama' alisema si sahihi kutumia mama kwa mke. Mama ni mzazi. Tumeendelea kutumia hata hivyo

Niliposoma mahali Waziri mkuu atua Chato kumtembelea Mama Magufuli sikuona tatizo , hasa tukizingatia Mjane hakuhudhuria Dodoma katika ile hafla ya dini. Mwanae alisema '' Hali ya mama si nzuri tangu mzee amefariki'

Kwahiyo nilijua Waziri mkuu kaenda kumtembelea mjane kwavile hali haikuwa nzuri

Leo niliposoma hii habari, nikajiuliza kumbe '' Mama Magufuli' alikuwa safarini kuja Dar ?

Ninaambiwa ni vitu tofauti, PM alikwenda kumuona Mama yake Magufuli na VP alikwenda kumuona Mama Magufuli.

Kujulia watu hali ni uungwana! sioni tatizo. Imewekwa sawa tumeeelewa ! hakuna tatizo jingine

JokaKuu ahsante sana kwa ufafanuzi
 
Miaka ya nyuma Nyerere aliwahi kuzungumzia kuhusu matumizi ya neno '' Mama' alisema si sahihi kutumia mama kwa mke. Mama ni mzazi. Tumeendelea kutumia hata hivyo

Niliposoma mahali Waziri mkuu atua Chato kumtembelea Mama Magufuli sikuona tatizo , hasa tukizingatia Mjane hakuhudhuria Dodoma katika ile hafla ya dini. Mwanae alisema '' Hali ya mama si nzuri tangu mzee amefariki'

Kwahiyo nilijua Waziri mkuu kaenda kumtembelea mjane kwavile hali haikuwa nzuri

Leo niliposoma hii habari, nikajiuliza kumbe '' Mama Magufuli' alikuwa safarini kuja Dar ?

Ninaambiwa ni vitu tofauti, PM alikwenda kumuona Mama yake Magufuli na VP alikwenda kumuona Mama Magufuli.

Kujulia watu hali ni uungwana! sioni tatizo. Imewekwa sawa tumeeelewa ! hakuna tatizo jingine

JokaKuu ahsante sana kwa ufafanuzi
Wewe ulichokisoma kiko wapi? Manake isije kuwa wewe ndiye uliyekosea kusoma. Labda hukusoma vizuri ulichokisoma…
 
Ngoja niwachochee kwa kuwauliza; ni kesi ngapi ambazo mnazijua ambapo baba amefariki ghafla na familia ikabakia salama? Wangapi mnajua maneno yanayotokea baada ya mtu mkubwa/tajiri/maarufu kufariki ghafla? Kuna maswali hapa yakija kuulizwa watu wataanza kutiwa pingu... ni vizuri waendelee kumjulia hali na kujua hali yake ya kiakili ikoje na familia inasemaje... vinginevyo asije akanung'unika...
 
Wewe ulichokisoma kiko wapi? Manake isije kuwa wewe ndiye uliyekosea kusoma. Labda hukusoma vizuri ulichokisoma…
Kuna uwezekano nilikosea kusoma, au nilisoma sikuelewa au nilisoma habari ikiwa haipo sawa

Nimefarajika kuwa sipo peke yangu, kumbe JokaKuu naye alielewa kama mimi.

Kufariji watu sioni kama ni issue! niliangalia tu matumizi ya rasilimali just to realize kuna vitu viwili vinaongelewa
''Mama yake Magufuli na Mama Magufuli'' Sioni tatizo !
 
Kuna uwezekano nilikosea kusoma, au nilisoma sikuelewa au nilisoma habari ikiwa haipo sawa

Nimefarajika kuwa sipo peke yangu, kumbe JokaKuu naye alielewa kama mimi.

Kufariji watu sioni kama ni issue! niliangalia tu matumizi ya rasilimali just to realize kuna vitu viwili vinaongelewa
''Mama yake Magufuli na Mama Magufuli'' Sioni tatizo !
Mimi nilichokisoma nilikielewa aliyeenda kuonwa ni Mama Suzana Magufuli. Mama mzazi wa Rais Magufuli.

Na jina liliandikwa kabisa kuwa ni ‘Suzana Magufuli’. Siyo Janeth Magufuli.

Kusoma na kuelewa ulichokisoma ni jambo jema/ zuri sana!
 
Anakula matunda ya uvumilivu wake yule dhalimu alimtesa sana huyu mama. Mapesa kibao na assets za kumwaga sijui kama anazijua zote na wapi zilipo.
Atajulishwa na mwanae Joseph, usiwe na wasi wasi
 
Mimi nilichokisoma nilikielewa aliyeenda kuonwa ni Mama Suzana Magufuli. Mama mzazi wa Rais Magufuli.

Na jina liliandikwa kabisa kuwa ni ‘Suzana Magufuli’. Siyo Janeth Magufuli.

Kusoma na kuelewa ulichokisoma ni jambo jema/ zuri sana!

..sasa usichoelewa ni nini hapo?

..wakati mwingine nadhani unakuwa na DONGE unapojadiliana na watu masuala ya Magufuli.
 
Back
Top Bottom