Kuna watu humu jamvini wanasema hivyo, aisee haiwezekani.
TFF inawafahamisha wadau kuwa mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Simba SC na Yanga SC iliyokuwa ianze saa 11 jioni sasa itaanza saa 1 usiku. TFF imepokea maelekezo ya mabadiliko ya muda wa kuanza mchezo kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.Kuna watu humu jamvini wanasema hivyo, aisee haiwezekani.
Waswahili bana, hadi mambo ya vyumbani kwa watu mnayajua. Eti ameteswa. Saikojia ndogo tu, mtu hadi anaugua kwa kufiwa halafu unapiga porojo hapa eti alikuwa akiteswa! Kuwa hater ni shida sana.Anakula matunda ya uvumilivu wake yule dhalimu alimtesa sana huyu mama. Mapesa kibao na assets za kumwaga sijui kama anazijua zote na wapi zilipo.
Mmetukimbia πAisee,....
Waswahili bana, hadi mambo ya vyumbani kwa watu mnayajua. Eti ameteswa. Saikojia ndogo tu, mtu hadi anaugua kwa kufiwa halafu unapiga porojo hapa eti alikuwa akiteswa! Kuwa hater ni shida sana.
Hana shida kabisa na mtu. Labda achokozwe tu lakini sio mtu wa visa na mikasa.Hana shida mzee
Waswahili bana, hadi mambo ya vyumbani kwa watu mnayajua. Eti ameteswa. Saikojia ndogo tu, mtu hadi anaugua kwa kufiwa halafu unapiga porojo hapa eti alikuwa akiteswa! Kuwa hater ni shida sana.
EeenHeee, sijui unataka uelezwe vipi zaidi ya yaliyoelezwa ndipo ukubali kuondoa hayo uliyokuwa umeyahitimisha kichwani mwako.Wewe ulichokisoma kiko wapi? Manake isije kuwa wewe ndiye uliyekosea kusoma. Labda hukusoma vizuri ulichokisomaβ¦
'Anticipatory'. 'Pre-emption'?Ngoja niwachochee kwa kuwauliza; ni kesi ngapi ambazo mnazijua ambapo baba amefariki ghafla na familia ikabakia salama? Wangapi mnajua maneno yanayotokea baada ya mtu mkubwa/tajiri/maarufu kufariki ghafla? Kuna maswali hapa yakija kuulizwa watu wataanza kutiwa pingu... ni vizuri waendelee kumjulia hali na kujua hali yake ya kiakili ikoje na familia inasemaje... vinginevyo asije akanung'unika...
Hivi cheupe nae alipewa mtoto au zilikua story tu? Sijamsikia muda amepoa kama hayupo, hata msibani sikuiona sura yake....Watoto 11 mama mbali mbali si ajabu hata huyo Joseph hajui kila kitu na hasa kama hakuacha will na Watanzania walio wengi hawana utamaduni wa kuwa na will.
Hivi cheupe nae alipewa mtoto au zilikua story tu? Sijamsikia muda amepoa kama hayupo, hata msibani sikuiona sura yake....
Nilishangaa ghafla kapotea kwenye ramani kumbe alizingua tehInadaiwa hivyo kulikuwa na tetesi kwamba jamaa alimpiga baada ya kutoka nyumbani kwake bila kumtaarifu jamaa. Jamaa alimtafuta na akaambiwa katoka na yeye hakujua ameenda wapi. Akaomba akirudi ataarifiwe na alipopewa taarifa akaenda kumbamiza. Na hasira zake nadhani hata ubunge wa viti maalum hakumteua pamoja na alikuwa ana uwezo wa kufanya hivyo.
HaswaaaaaaaaaaaMjane anaonekana mwenye furaha tofauti na hapo zamani, na amenawiri bila shaka ana amani sana....
Hivi mke wake Mpango hakuwa anaitwa Doris au Diana vile? Siyo jina hili au labda hili ni la kikabila π£π£π£π£Mbonimpaye Mpango.
Huyu Mama yuko Chato alikokwenda PM au yupo Dar?Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na Mjane wa Hayati Dkt. John Magufuli Mama Janeth Magufuli wakati alipomtembelea Nyumbani kwake Masaki Jijini Dar es Salaam leo Mei 08,2021. Katikati ni Mke wa Makamu wa Rais Mama Mbonimpaye Mpango.
Atakua alikua anampenda sana, si unajua wasukuma kwa wanawake weupe hauwaambii kitu πInawezekana hakwenda kumvulia mtu chupi lakini jamaa wivu wake si wa kawaida. Anaweza kwenda kumpigia magoti mama ampe hata Ubunge kama siyo Ukuu wa Mkoa.