Yanga FC waondoka rasmi Uwanja wa Mkapa

sayoo

JF-Expert Member
Nov 19, 2014
5,272
7,871
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo saa 11 jioni na kupelekwa mbele saa 1 jioni

Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
 
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo SAA 11 jioni na kupelekwa mbele SAA 1 jioni

Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Haooo
 
Yanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo SAA 11 jioni na kupelekwa mbele SAA 1 jioni

Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Wananchi safiiiiiii

400138500767_377719.jpg
 
Back
Top Bottom