HaoooYanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo SAA 11 jioni na kupelekwa mbele SAA 1 jioni
Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Vihingilio vyetu itakuwaje sasaKwa hili Yanga wako sahihi kwa 100%.
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
TFF wametuharibia mechi yetu.
Wananchi safiiiiiiiYanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo SAA 11 jioni na kupelekwa mbele SAA 1 jioni
Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Tff ni wapuuzi sana, watu wamesafiri mbali kwa ajili ya hii mechi then unabadilisha muda wa mechi muda mfupi kabla ya mechiKwa hili Yanga wako sahihi kwa 100%.
Heri nusu shari kuliko shari kamili.
TFF wametuharibia mechi yetu.
Kwani mechi ingechezwa saa 1.00 usiku, hao waliosafiri si wameshalipa nauli? Au unamaanisha nini?Tff ni wapuuzi sana, watu wamesafiri mbali kwa ajili ya hii mechi then unabadilisha muda wa mechi muda mfupi kabla ya mechi
Tusi dogo sana hilo wape kubwaAibu sana hii kwa TFF na bodi ya ligi. Stupid kabisa.
Safi sanaYanga waondoka rasmi uwanja Wa mkapa , wakigomea mabadiliko ya muda Wa mchezo wao uliotakiwa kuchezwa Leo SAA 11 jioni na kupelekwa mbele SAA 1 jioni
Wachezaji na viongozi wao wote wameondoka .
Hivi unajua watu wengine wameingia uwanjani saa ngapi, na ilitangazwa milango itafungwa saa kumi kamili....fikiria kabla hujaquoteKwani mechi ingechezwa saa 1.00 usiku, hao waliosafiri si wameshalipa nauli? Au unamaanisha nini?
Utanisaidia ban? 😂😂Tusi dogo sana hilo wape kubwa