Wanamuogopa kigogo asiende kushusha mzigo pale kama alivyoahidi😂😂😂Haya mabati hayana taswira nzuri yabomolewe na kuwekwe mandhari stahiki
Does it change anything? he is dead gone and that is the truth.Kinda of stupidity
Future ya maisha yao ni muhimu zaidi ya huyo aliyelalaKweli Familia inakosa pesa ya kujenga jengo zuri?
Mwambieni meko ukweli kilichomuua Ni Corona aache ubishi avae barakoa huko asije akafa tena, anyway Yule dada wa kisarawe Ni mtamu, juzi Kati nimemuonjaLeo makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango amezuru kaburi la Hayati JPM. Makamu wa Rais anaelekea Kibondo kwa ajili ya kufunga Kampeni kesho.
View attachment 1784287
Hata kuweka haya mabati wamempendelea. Siku nikienda Chato, mbali ya kukojolea kaburi nitayaiba mabati.Haya mabati hayana taswira nzuri yabomolewe na kuwekwe mandhari stahiki
Wamemuwekea na majani ya kula oooh!!View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Haukuzikwa kama ulivyoona kwenye Tv,Kivipi yani?
Sasa hiyo Rozari ya nini tena? Kuna watu walikuwa wash...wa kuzaliwa sema wakawa wanajifichwa kwenye kivuli cha ucha MunguMzee wetu Dr Magufuli alizikwa ki'mila safiii sana
Hakuwa makamu wa Rais, alikuwa waziri sasa kaenda kama naibu rais.Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?
Ujenzi wa apo mzuri hauzidi mil 150 standard kabisa so hata wabunge wa ccm mnashindwa fanya ilo mpaka kusubili serikali au familia, Mnatetea legacy yake wakati Mambo madogo hamfanyi, changeni laki 7 kila mmoja hapo bungeni mtakua mmepata ml 210 pendekeza mchoro wakabidhi serikali pitia waziri mkuu ,wakafanye Mambo ,View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Si tulisha malizana na huyu jamaa?Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.
Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.
Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye
Alisemaje?Wanamuogopa kigogo asiende kushusha mzigo pale kama alivyoahidi😂😂😂
Sijui kwa nini hii picha imenisikitisha sana, anyway RIP MagufuliView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Duuh! Aisee!View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Mapema sana .....kwa nje watajenga kijumba kizuri chenye madirisha vioo....patakuwa pazurisana ni muda tu wanaandaa hizo michoro...usimalize manenoView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?