Makamu wa Rais azuru Kaburi la Magufuli akiwa njiani kuelekea Kibondo

View attachment 1784374

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.

Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.

Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye.
Ndio naamini kweli alikufa asee mwanzoni nilidhani maigizo ujue
 
Shujaa kalala kwenye kibanda maiti/kibanda umiza.....

Mlevi akipita hapo anaweza dhani ndani kuna movie za kihindi, kiingilio jero.
 
Mwambieni meko ukweli kilichomuua Ni Corona aache ubishi avae barakoa huko asije akafa tena, anyway Yule dada wa kisarawe Ni mtamu, juzi Kati nimemuonja
Ulikumbuka kuvaa dawa ya penzi? Inasemekana pamoja na macorona ya mabeberu kulikua pia na magonjwa ya ajabu ajabu yaliyoletwa na mabeberu....
 
Duuh
Screenshot_20210514-184936_Instagram.jpg
 
Binadamu tuache viburi duniani tunapita tu tuache kutumia vyeo vyetu kunyanyasa wengine huku tukijiita majina ya kujisifu,eti "mimi jiwe" jiwe linakufaga!
tatizo ni kwamba utakufa tu hata uamue kuwaje.
 
View attachment 1784374

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.

Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.

Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye.
Wabongo tuache majungu hiyo ni temporary structure tu wakati plans za kujenga long term structure ziko underway
 
Legacy ya mwendazake imepepea kama manyoya kwenye kimbunga Jobo.

Huyu Mpango kachemka sana kama lengo lake ni kupata umaarufu kwa kuzuru kaburi hili. Sana sana anajitia kimavi.

Mpango anatakiwa awe mpole sana kwani sasa hivi angekuwa SIX FEET under; ameponea chupu chupu hivyo hana budi kumshukuru Mungu wake sana!!

Mpango hana budi kuwashukuru wazazi wake na waalimu wake waliomfundisha mpaka akafika hapo alipo vinginevyo akiwadharau ndio balaa hufuata!! Hayo ni mafunzo ya dunia. Wenzio wameondoka lakini wewe umebakizwa ujue kuna sababu na sio bure!!
 
View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
UNACHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU.
Kwa kawaida kaburi linajengwa baada ya walau mwaka mmoja- hata la Mwalimu baba wa taifa ilikuwa hivyo ni kwa vie ulikuwa hujajua kusoma na kuandika.
 
Nilitamani nipite kimya kimya..., nimeshindwa.

Magufuli kwa baadhi ya mambo mengi aliyofanya kwa muda mfupi, ilikuwa mambo hayo yaibadilishe nchi hii kwa kiasi kikubwa kama angeyaendeleza hadi ukomo wa uongozi wake ulipotakiwa kuishia kisheria, na pengine baada ya hapo ingekuwa vigumu kuyapangua kwa faida ambazo zingekuwa zinaonekana kutokana na matokeo ya mambo hayo.

Lakini haya mengine haya, ambayo hayakuwa na uhusiano wowote na mambo ya msingi, kwa nini alilazimika kuyafanya na kumharibia jina lake?
 
Back
Top Bottom