Raisi wa mwaka huu atatoka UKAWA. Iwe mvua iwe jua. Ushindi kwa UKAWA ni LAZIMA.Rais wa mwaka huu atatoka CCM!!
Sijasema atashinda wa CCM, ila atatoka huko.
Watch this space.
Mh! kazikweli nyie mfuateni mbowe ila ipo siku mtajitambuaYule uliyemfuata alikua anatumia nanimsaliti mkuu
Mh! kazikweli nyie mfuateni mbowe ila ipo siku mtajitambua
Watanzania wamechoka na ufisadi wa ccmLabda muingie msituni, ila watanzania walio wengi bado hawako radhi kuwapigia kura UKAWA kwenye ngazi ya urais!
Huu ndio ukweli!
Kwenye siasa za urais, kuna CCM, UKAWA na ACT tuu, hakuna CUF, Chadema wala NCCR Mageuzi!.Pasco naona umekubali maji yamekufika shingoni na Magamba...Naona unataja chama cha Wasaliti ata Mbunge akina why not NCCR or CUF?
Jindikisheni ndugu zanguni.
Kilicho chini ya MBOWE NA MTEIChadema ni chama cha Watanzania
Chadema bana, mnajitekenya wenyewe na mnacheka wenyewe subirini oktoba.
Kura haziibwi manually !!
Nyie mtabaki na idadi tu ,ila atakazopewa Lubuva kule dar ni tofauti na za site!!
Rais atatoka CCM hata kama mshindi atakuwa wa upinzani
Labda muingie msituni, ila watanzania walio wengi bado hawako radhi kuwapigia kura UKAWA kwenye ngazi ya urais!
Huu ndio ukweli!
Tunazijua hila zote zinazopangwa kufanyika, manually na electronically, ukiwa ni mojawapo ya mipango baada ya ule wa kutaka kujiongezea muda kushindikana kwa pressure ya UKAWA.
Kilicho chini ya MBOWE NA MTEI
Ndio uzuri wa UKAWA, hatugombei vyeo kama Ma-CCM.
Ww bado ni msukule wa ccm Watz hawako hv jins unavyofikiria wewe, UKAWA ndio tumain la Watz ccm imechokwa..