R.i.p ccm
Huyo tulio mshindwa ni nani? October si mbaliSina imani kabisa na ukawa,kama vyama vinne vinashindwa kupampana na chama kimoja si dhani kama watapambana na matatizo mengi ya watanzania. Strongest man is he who stands alone.
Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Dr Emmanuel Makaidi amewataka wafuasi wa UKAWA kote nchini kutojishughulisha na mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM.
Dr Makaidi ambaye pia ni Mwenyekiti wa NLD amesema badala yake wanachama wote waendelee kuijenga UKAWA huku wakisubiri kutangazwa mgombea mmoja atayepeperusha bendera ya UKAWA kugombea Urais ambaye pia akishatangazwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa Rais wa Tanzania.
Dr Makaidi aliyekuwa akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Masasi ametangaza pia nia ya kugombea Ubunge Masasi mjini kwa tiketi ya UKAWA.
Ikumbukwe Watanzania wana Imani kubwa na UKAWA na pia wanaamini umoja huo unaoundwa na vyama vya NLD,CHADEMA,NCCR na CUF utapendekeza mgombea mwenye ushawishi mkubwa na uwezo wa kupambana na rushwa na kuwaondolea umaskini.
Chanzo: Chanel ten Habari.
Kura haziibwi manually !!
Nyie mtabaki na idadi tu ,ila atakazopewa Lubuva kule dar ni tofauti na za site!!
Rais atatoka CCM hata kama mshindi atakuwa wa upinzani
Nikweli wapo lakin hawana nafasi hapo na wakijaribu hupewa majina mengiWazalendo wapo ukawa
Nikweli wapo lakin hawana nafasi hapo na wakijaribu hupewa majina mengi
Dr makaidi kama siyo kaidi naomba majibu yafuatayo hivi mgombea binafsi na ukawa kuna tofauti yoyote? (unregistered association)
Sina imani kabisa na ukawa,kama vyama vinne vinashindwa kupampana na chama kimoja si dhani kama watapambana na matatizo mengi ya watanzania. Strongest man is he who stands alone.
Labda wewe na mke wako ndio mtakuwa chini ya CCM hadi hiyo miaka 2035, Ila kwa sisi watanzania tunaojitambua CCM kitageuka kuwa chama cha upinzani October.
Ukawa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza nchi wao waendelee na kuboresha vyama mambo ya kuongoza nchi ni ccm tu
Mkuu Tumaini Makene, heshima mbele!, asante kwa uzi, nitausoma!.@Pasco
Ndivyo mnavyochanga karata zenu hivyo? Sasa mbona mmechoka kiasi kwamba hata hamna tena turufu za maana, achilia 'ya' maana.
Labda huu uzi hapa ulikupita haukuusoma kama na gazeti pia hukusoma, ni vyema ukatulia usome hapa;
Usisahau pia kuwa 'mbuzi wa shughuli' ni CCM pamoja na