Nakumbuka mara yangu ya kwanza na ya mwisho kula ban humu jf, kulisababishwa na wewe, hivyo najitahidi sana kuwa makini nisije nika ku provoke nikaishia kula ban ya pili!.
Aliyesema upinzani wa kweli ni lazima utatoka CCM sio mimi, au na yeye pia ni empty head kama mimi?!.
Hatuna haja ya kutukanana sijui empty headed or what, we are just counting days, he who laugh last laugh most, na he who cried last cried most, fainali ni tarehe 25 October, kuna watu watalia na kuna watu watacheka, tuangalie nani atalia na nani atacheka, sisi wengine kazi yetu itakuwa ni kuzomea tuu, kwa sababu hapo ndipo kwenye proof ya empty heads na full heads!.
All the best full headed!.
Pasco (empty headed!).
Licha ya sisi kuitwa HE kwa ajili ya EL, lakini leo, hivi ndivyo EL anavyokuwa addressed!.
WanaJF,
Kamanda mpambanaji na asiyechoka mzee wa Maamuzi magumu Edward Ngoyai Lowassa
Nimependa jinsi ulivyompamba huyu Kamanda, na kujifikirisha jinsi ulivyomzungumza kabla!.
All and all, maadamu sasa sote tuko njia moja, tuheshimianeni huku tukikumbushana kwa lengo la kuweka kumbukumbu sawa, tulisema nini, lini, na sasa kinatokea nini!.
Who was right and who was wrong!, kufanya kosa sii kosa, kosa kurudia kosa!, mwanzo mlifanya makosa, yamepita, a way forward ni kukubali kosa, kutorudia kosa na sasa tusonge mbele!.
Asante.
Pasco