Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Makaidi atoboa siri urais UKAWA

UKAWA haiwezi kutoa Rais wa TANZANIA, wala hakuna chama cha upinzani kinachoweza kuishinda CCM katika chaguzi hizi za miaka ya hivi karibuni, 2015, 2020, 2025, 2030, labda 2035.
 
Inaweza kuwa tumaini lakini nipale tu ukawa itaweka viongozi wenye kujipima kwanza wenyewe, na kwa wale wenye uzalendo wa kweli ktk nafsi zao wa kuwatumikia watanzania Hapo ndipo itakapo kamilika neno tumain la watanzania, vinginevyo Tumaini litapatikana kwa WAZALENDO wa kweli mapambano ndio ya matumain ya kweli ndio yameanza sasa. TEAM WAZALENDO
Nenda kamwambie aliyekutuma umepotea njia Ukawa ndio tumaini la watanzania
 
Mwenyekiti mwenza wa UKAWA Dr Emmanuel Makaidi amewataka wafuasi wa UKAWA kote nchini kutojishughulisha na mchakato wa kumpata mgombea Urais ndani ya CCM.

Dr Makaidi ambaye pia ni Mwenyekiti wa NLD amesema badala yake wanachama wote waendelee kuijenga UKAWA huku wakisubiri kutangazwa mgombea mmoja atayepeperusha bendera ya UKAWA kugombea Urais ambaye pia akishatangazwa kuna uwezekano mkubwa wa kuwa Rais wa Tanzania.

Dr Makaidi aliyekuwa akihutubia mkutano mkubwa wa hadhara mjini Masasi ametangaza pia nia ya kugombea Ubunge Masasi mjini kwa tiketi ya UKAWA.

Ikumbukwe Watanzania wana Imani kubwa na UKAWA na pia wanaamini umoja huo unaoundwa na vyama vya NLD,CHADEMA,NCCR na CUF utapendekeza mgombea mwenye ushawishi mkubwa na uwezo wa kupambana na rushwa na kuwaondolea umaskini.

Chanzo: Chanel ten Habari.
Makaidi,

Itakuwa ngumu kwa UKAWA kuacha kujadili wagombea wa CCM maana hiyo fursa hawaipati kwenye UKAWA.
 
Huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza ila ndio ukweli wenyewe, rais wa 2015 ni kutoka CCM!, either kupitia CCM, Ukawa or ACT, ikulu yetu ni ya mtu mmoja tuu, "the one and only!".

Pasco

@Pasco

Ndivyo mnavyochanga karata zenu hivyo? Sasa mbona mmechoka kiasi kwamba hata hamna tena turufu za maana, achilia 'ya' maana.

Labda huu uzi hapa ulikupita haukuusoma kama na gazeti pia hukusoma, ni vyema ukatulia usome hapa;


Usisahau pia kuwa 'mbuzi wa shughuli' ni CCM pamoja na
 
sweetlady

Wanapaswa kufahamu kwamba kila Kata nchi hii tuna Red Brigade 200.Wasitarajie kuiba hata kura moja.Tutawacharaza bakora kama mbwa koko.Mimi binafsi nitaongoza vikosi vya RB katani kwangu.


Kura haziibwi manually !!

Nyie mtabaki na idadi tu ,ila atakazopewa Lubuva kule dar ni tofauti na za site!!

Rais atatoka CCM hata kama mshindi atakuwa wa upinzani
 
Last edited by a moderator:
Kura haziibwi manually !!

Nyie mtabaki na idadi tu ,ila atakazopewa Lubuva kule dar ni tofauti na za site!!

Rais atatoka CCM hata kama mshindi atakuwa wa upinzani
Ndio Mnavyopanganga kwenye vile vikao venu vya waganga wa kienyeji?
 
Hata ukawa kiwango chao ni kuongoza vyama sio nchi tafakari sana kbla ya kutoka povu

Na kiwango cha ccm nikuwaona Watz wakiwa maskin huku mafisadi waccm wakila raha na kupiga mabilion ya pesa hivi bac mmechoka, Watz wanatupa ridhaa UKAWA ya kushika Nchi hii oct kutoka kwa wakolon weus, ndan ya miaka mi5 tu ni zaid ya mika 1000 kwa ccm, ccm hamna mipango kwa Nchi hii kila cku ni ufisad tu na wote wanaotangaza nia afadhal ya yule, kumbe hakuna Afadhal ni mafisad wato waliofilisi Nchi hii..
 
CCM ni sawa na maiti inayojisaidia haja barabarani, hakuna fisadi yeyote atakayeachwa salama na nguvu ya umma mwaka huu.
kwa waswahili maiti inaheshimiwa sana na ndiyo maana wao hawaiti "Maiti hii" bali husema "maiti huyu" kwenye kujenga hoja kwa vile tunatumia lugha ya kiswahili basi tuzifuate na tamaduni zake za kuelezea jambo.

Pili Kisayansi mtu akishakufa mfumo wake wa kumeng'enya chakula huacha kufanya kazi. kwa ivo si sahihi kusema kuwa maiti inaweza kujisaidia iwe barabarani au "Mochwari" nazuia kina FaizaFoxy kuja kukunyambua kuwa wewe ni wakuja na hujui matumizi ya lugha yao!!
 
Makaidi,

Itakuwa ngumu kwa UKAWA kuacha kujadili wagombea wa CCM maana hiyo fursa hawaipati kwenye UKAWA.

Tunawashangaa maana mmejitoa ufaham, hiv inakuwaje nyie mafis wa ccm kila kukicha mnatangaza nia, huku mnajua kabisa Daftari la kudumu la Wapiga kura linasua sua kila kukicha!!! Huo ni umbu umbu na kumbuka Watz hawako bz kwa watangaza nia wa mafisad bal kila Mtanzania anata kuona anajiandikisha ktk daftar la kudum la wapiga kura na hiyo ndio silaha kubwa ya kuing'oa ccm yenu ya majambaz na mafisadi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom