Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Maraika akiingia kwenye kundi la ufisadi hata yeye atakuwa fisadi kwakua mfumo ni waufisadi lkn akini fisadi akiingia kwenye kundi la maraika hata angekuwa fisadi kias gani lazima atabadikika kwakuwa walijenga misingi safi
 
Pasco

Sina uhakika kama itikadi ya vyama inakuandama au mtu, ila pia sijui kama baadhi ya maandishi yako hukufanya kuonekana ndumilakuwili,

Kunajambo 1 tu ambalo hujajitambua kuwa huwa unaogopa kusema ukwel kwa sabb ya masilahi, yawe ya moja kwa moja(direct benefits) au indirect,

Sasa kumbuka dayz are numbered, weka akiba.huyo unae mtete hata kama atashinda ufisadi wake hauondoki kwa maneno ya pasco,

Mhim ni kutambua kuwa alipokuwa ccm alikuwa fisadi, ila alipokuja cdm/ukawa amekuwa mtakatifu, ki ukwel kunawakati nikiwatizama watu wanamsuport edo nahic kama kunakitu hakipo sawa kwao.. ila ck zimebaki chache...

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Mkuu LS, maadili ya fani ya uandishi hayaniruhusu kuwa mfuasi, mashabiki au mwanachama wa chama chochote cha siasa.

Kama wewe ni Mkristo, mchukulie huyu 'jamaa yangu kama Sauli kabla hajabadilika kuwa Mtume Paulo!. Lowassa alikuwa fisadi mkubwa alipokuwa CCM kwenye chama cha mafisadi, baada ya kuhama Chama cha mafisadi CCM, na kujiunga na chama cha watakatifu cha Chadema, madhambi yake yote yametakasika na amekuwa mtakatifu sawa na watakatifu wengine!.

Sii wengi wanaofahamu kwamba hata shetani hapo mwanzo alikuwa malaika, ushetani ni vitendo tuu, hivyo pia inawezekana shetani akiachana na maovu na kutenda mema, anageuka tena malaika!, hivyo huyu 'jamaa yangu' ndiye malaika wa ukombozi wa pili wa taifa hili!.

Tena Wakristo wenye wenye imani ya kweli, wanajua kuwa katika binadamu, hakuna mkamilifu, ndio maana YULE Aliyakuja kwa ajili ya dhambi zetu, alikuja kwa ajili ya waliopotea na sio kwa ajili ya wakamili, after all, tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo, hesabu neema iliyomo ndani yake kwa ukombozi wa taifa letu na usianghalie matendo yake ya zamani alipokuwa Sauli!.

Kuhusu kuwaona ma supportes wa huyu 'jamaa yangu' hawako sawa, ni haki yako kabisa, na vivyo hivyo, sisi ambao tunaujua uwezo wa taifa hili kwa development potential, tukilinganisha na CCM imetufanyia nini, tunajiuliza inawezekana vipi mtu mzima mwenye akili zake timamu, akaichagua CCM!.

Kiukweli kabisa CCM imewekeza sana kwenye ignorance, na ndio maana ina take advantage ya ignorance ya Watanzania walio wengi kuendelea kuichagua kwa mazoea tuu au kwa ujinga tuu, lakini ikifanyika awareness ya kweli, there is no way, CCM inaweza kuchaguliwa tena!.

Pasco
 
Pasco

Sina uhakika kama itikadi ya vyama inakuandama au mtu, ila pia sijui kama baadhi ya maandishi yako hukufanya kuonekana ndumilakuwili,

Kunajambo 1 tu ambalo hujajitambua kuwa huwa unaogopa kusema ukwel kwa sabb ya masilahi, yawe ya moja kwa moja(direct benefits) au indirect,

Sasa kumbuka dayz are numbered, weka akiba.huyo unae mtete hata kama atashinda ufisadi wake hauondoki kwa maneno ya pasco,

Mhim ni kutambua kuwa alipokuwa ccm alikuwa fisadi, ila alipokuja cdm/ukawa amekuwa mtakatifu, ki ukwel kunawakati nikiwatizama watu wanamsuport edo nahic kama kunakitu hakipo sawa kwao.. ila ck zimebaki chache...

TAFAKARI CHUKUA HATUA

kama ukiwa unatumia akili ya kawaida tu unaweza usione lengo halisi la watu wa ukawa,ila ukitumia jicho la tatu utajua ukawa wamedhamiria kuondoa huyu mkoloni wa kijani sisiemu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom