Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Makaidi atoboa siri urais UKAWA

Hakuna chama kilichosajiliwa kwa jina la UKAWA
 
Asante mzee wangu naona unamaliza siasa ukiwa kama ndiyo unaanza vile tofauti na kina Mrema Lyatonga.
 
Huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza ila ndio ukweli wenyewe, rais wa 2015 ni kutoka CCM!, either kupitia CCM, Ukawa or ACT, ikulu yetu ni ya mtu mmoja tuu, "the one and only!".

Pasco
Laada nikwambie Ukweli Rais ajae anatokea Ukawa
 
Kila kheri dr.Makaidi, Hakika kwa nguvu ya wanyonge wengi kupitia UKAWA basi jimbo tayari ushalipata.
 
Ukawa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza nchi wao waendelee na kuboresha vyama mambo ya kuongoza nchi ni ccm tu
 
Huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza ila ndio ukweli wenyewe, rais wa 2015 ni kutoka CCM!, either kupitia CCM, Ukawa or ACT, ikulu yetu ni ya mtu mmoja tuu, "the one and only!".

Pasco

CCM ni sawa na maiti inayojisaidia haja barabarani, hakuna fisadi yeyote atakayeachwa salama na nguvu ya umma mwaka huu.
 
Huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza ila ndio ukweli wenyewe, rais wa 2015 ni kutoka CCM!, either kupitia CCM, Ukawa or ACT, ikulu yetu ni ya mtu mmoja tuu, "the one and only!".

Pasco
Unaumwa kweli , atakuwa je CCM kupitia UKAWA ? Kupitia Act yEs maana hilo ni tawi la CCM
 
MKuu labda Uligeuza gazeti ulikuwa unazungumzia CCM, maana huko ndio Mpaka sasa Chama Kina KAMBI 30 za wagombea, Hivi Hujasikia Yalio Mpata MEMBE leo huko Mbeya, Wana CCM wenzie wamemtenga? sasa kutakalika vipi?


mkuu huyu jamaa sina uhakika hata kama hilo gazeti anaweza kusoma,..
 
Mie nangoja kujiandikisha japo NEC wanaficha ratiba hapa Mwanza ila m/kiti wangu wa mtaa kapambana mpaka ratiba kaipata

Tupiamo, isambaze kilapahali kwenye dalala kwenye vijiwe majumbani watu wote wajue,
na msisahahu kwenda kuwachukua wasio jiweza wakajindikishe hakikisheni kila mtu anajiandikisha hakuna sababu ya mtu kuachwa.
 
Ukawa hakuna mwenye uwezo wa kuongoza nchi wao waendelee na kuboresha vyama mambo ya kuongoza nchi ni ccm tu

Uwezo wa kuongoza nchi mliutoa wapi? Sasa mwaka huu mtaelewa tu ni vyema mkaanza mapema kuandaa na passport kabla ya mambo kuharibika hiyo October.
 
Rais wa mwaka huu atatoka CCM!!

Sijasema atashinda wa CCM, ila atatoka huko.

Watch this space.

Mkuu,sijui kwa nini watu hawalioni hili!
Hata viongozi wakuu wa vyama vya upinzani wanalijua hilo,raisi lazima atatoka CCM.
Huwezi ukaenda kwenye uchaguzi bila ya mambo ya msingi kufanyiwa kazi halafu ukategemea upinzani kushinda. Kwani mambo waliyokuwa wanayapigia kelele yarekebishwe yamerekebishwa?
Hapo ndipo ninapoona na kuamini kuwa vyama vya upinzani bado havipo makini kabisa.
 
Taifa linahasara kweli hili ei huyu molemo naye anataka agombee ubunge wakati yeye mzee halafu akili za kibavicha umeandika utumbo gani sasa eti siri hovyo.

Ukiwa CCM ni lazima kwanza ukubali kuukana utu na ufahanu wako.
 
Mkuu,sijui kwa nini watu hawalioni hili!
Hata viongozi wakuu wa vyama vya upinzani wanalijua hilo,raisi lazima atatoka CCM.
Huwezi ukaenda kwenye uchaguzi bila ya mambo ya msingi kufanyiwa kazi halafu ukategemea upinzani kushinda. Kwani mambo waliyokuwa wanayapigia kelele yarekebishwe yamerekebishwa?
Hapo ndipo ninapoona na kuamini kuwa vyama vya upinzani bado havipo makini kabisa.

Hayo mambo ni yapi? Usijitoe ufahamu Rais nikutoka Ukawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom