Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,489
- 82,421
Ajipange haswaa!Hii imezidi sasa.
Ajipange haswaa!Hii imezidi sasa.
Ila ishu ya kuoa malaya ni unkwepekabo.Hiyo emanje umeandika kama matamshi ya kifaransa! Mbaga kuoa labda miaka 10 ijayo alishasema wanawake wote ni malaya, kila mtu kwake anajiuza na bao la mkono limeshamuathiri mpaka ubongo!
Astakafirilah shekhe 🙆Mbali na kwamba me ni mchaga OG,
Nimezaliwa same na kusoma primary pale same, hawa jamaa kuhusu uchawi hawajasingiziwa
Hawa jamaa hapa chini wote ni wapare watakuja kujazia
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Extrovert
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli
Ah kumbe binti n mgonjwa huyu, ah bc ngoja nirudishe nyuklia yangu store 😂Hujapona bado we binti!!
We kumbe mnyaki na husemiUsijali mimi mwenyewe mchaga mnyaki🤣🤣🤣
Utasikia aliambiwa na wamama wenzake wa mtaani waliokosa kazi 😂Hivi uliwaona wanafanya uchawi au ni story tu umesikia mtaani?
Choose ur hard!Ila ishu ya kuoa malaya ni unkwepekabo.
Either tuoe single mother au Malaya 😭
70k kama shamba boy sio!150 mbona mbali sana huko 😂
Jamii za kichaga na wapare ambao wanaendekeza Ushirikina ni kwa zile koo ambazo chimbuko lao walimuacha elimu akaenda zake.Mbali na kwamba me ni mchaga OG,
Nimezaliwa same na kusoma primary pale same, hawa jamaa kuhusu uchawi hawajasingiziwa
Hawa jamaa hapa chini wote ni wapare watakuja kujazia
Mbaga Jr
Vishu Mtata
Extrovert
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli
Ndio huyo unayempasulia yai daily😆Mm mke nnae, ila bado hajapata mwili bado yupo kwa mfumo wa kiroho 😎
Wewe kwenu ni wapi?1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao tu.
Pia ni wachawi sana sana hawana mfano.
2.Wachaga ni washirikina wanajua kukufanya usiwe na maendeleo .
Usijitambue yaani wakipeleka jina lako kwa mizimu yao kwisha upo upo tu .
Wajinga hawa . Hawapendi wenzi wao wawapite kwangu hiki nikisa cha kweli.
WAchukua nyota za wenzi wao nakuzitumia .
Jingine wao wanajua kunyapia chochote kizuri cha mwenzi wao wapo tayari kuwa na wanawake tofauti kukusanya riziki zao na nyota zao . Wakimya na hawapendagi kukuonyesha dalili yeyote ya mipangilio yeyote.
Hawana huruma huwa kufanikisha ndoto zao ilimradi familia yake ipate matunzo. Sio familia ya kwenye ndoa alipozaliwa .
Wachagga wanamila na desturi za kishirikina sana matambiko yao ni ya kifreemanson sana hadi inatisha akijua nyota yako nzuri anaichukua na kuitumia kwa mambo yake na hutojua .
Kabila lingine ni wambulu . Wao wanapenda kuteka watua akili wapo kama wapare .
Ni wachawi sana hawapendi wenzi wao wawasaidie familia alikozaliwa .
Ni yeye tu na ndugu zake .
Hawajatulia .
Hata kidogo . Wao wanawake kila daily .
Wakurya wao wanapenda kuweka kinyongo , hawajiamini wanaweza kuua mtu kisa kutomuamini mwenzi wake . Anampiga mwanamke kila daily
Hadi wanaua kwa wivu .
watu wakigoma na waluguru hawa ni balaa hawa watu ni wana roho mbaya sana .
Wachawi mnooo.
Hata wasukuma japo hao wanapenda wake zao ila kwa uchawi basi tu . Yaani wachawi .
NA wengine wanyakyusa .....
Wewe nj kabila gani hapo maana unahasira balaahuna Akili
Mimi ni mkambaaWewe kwenu ni wapi?
Nyie ndo msio na mawaa!Mimi ni mkambaa