Makabila ambayo bora uwe single

Makabila ambayo bora uwe single

Anyways Kila Kabila Lina Mapungufu yake ambayo kwao huyaona ya Kawaida mpaka Mtu wa Pembeni aje awaambie Nyie Mpo Tofauti sana. Kuna makabila UCHAWI kwao ni kama Wanaenda Kanisani. Mganga Mpya akijitokeza Ukoo mzima Lazima wakasamsabahi huyo Mganga (SUKUMA Tribe )

Kwa hiyo Kama Unataka Kuolewa kwa kuangalia makabila utazeeka mtaani
Hapa unatusingizia tu huenda kuna watu unawafahamu wewe wanaoenda huko kumsabahi huyo mganga ila sio wote! Nimezaliwa usukumani sijawahi kuona hayo mambo pande zote mbili za kwetu!
 
Mimi ni mchaga w kibosho asili yangu ya baba , mama ni msomali ila wa asili ya wachaga wa machame , mimi nimekulia marangu kwa babu mdogo, toka 87 mpaka 95 nilipo ondoka na mama manyara babati kipindi hicho ni Arusha

Mkuu wewe ni mchagga, uchaga ni damu, uchagga ni desturi na mila, uchagga sio jiografia wala ukuaji wa eneo. Uchagga no asili ya mtu. Kama ulivyo Usukuma, usukuma umetawanyika almost nch nzima. Jivunie kuwa mchagga, uchagga ni urithi "Heritage" na ni ufahari. 😊
 
Back
Top Bottom