Acha zako mamilooEh wachaa kumbe ndio nyie mnaobadilisha dira za watu dah hmauoni mbinguni licha kuukumiwa
Nyie wajanjaa warohoAcha zako mamiloo
Mimi nakuita msacha na wewe unaniita mshiki sio? Nimekumbuka mbali sana hayo majina.Mimi na jamaa yangu mwana ume kama mimi😅 wewe unaniita msacha
Wanyaturu kule singida labda sasa ila hao ni wakawaida sanaKuna tatizo la kiufundi mkuu embu waongeze na wanyaturu
Achana naye hayuko sawa muda mrefu huyo. Mbona hapa jamvini wengi tunamjua, kuna Trauma anapitia nafikiri bado hajaponaAchana na wachaga kama hauna akili timamu binti
Mwanamae ngakuvia kindo, 🤔Acha zako mamiloo
Wachaga? 😎😄Kati ya makabila uliyoyataja hapo kuna moja hapo lina mabinti warembo na wenye mvuto, ila kiburi chao kama kingekuwa maji ukayafungulia mtoni, kingesababisha mafuriko mto Rufiji maji yakazamisha Ikwriri yote
❌️Wachaga? 😎😄