Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 38,254
- 88,538
Embu taja indicators za huo uchawi uliopo upareni ili watu wajue.
1. Je kuna waganga wengi?
Uliwahi kusikia au kuona tangazo linasema mganga kutoka Upareni, Same, mwanga, au milimani ya pare ?
2. Matukio ya Mauaji ya Albino, vikongwe, kuchunwa ngozi, n.k. uliwahi yasikia huko upareni hata siku moja kwenye tangazo la radio?
3. Uliwahi sikia dawa kama limbwata au nyingine za kishirikina kutoka upareni? Kama ipo nitajie.
Kwa sisi tuliokulia Upareni huo uchawi uliokuwepo kule kwa sehemu kubwa ni wawageni walioletwa na mkonge(katani), makabila kama Wasukuma, Warundi, Wanyiramba, na jamii za kutoka Tanga.
Ukitaka waganga konk nendaMna penda kwenda kwa waganga na sehemu zenu za kuroga ni miliman nime kaa na wapare nawajua sanaaa
Mna penda kwenda kwa waganga na sehemu zenu za kuroga ni miliman nime kaa na wapare nawajua sanaaa
Wewe hujui kitu, kwamba mpare ni mchawi kuliko MZIGUA?? Bado unasafari ndefu sana
Hiyo emanje umeandika kama matamshi ya kifaransa! Mbaga kuoa labda miaka 10 ijayo alishasema wanawake wote ni malaya, kila mtu kwake anajiuza na bao la mkono limeshamuathiri mpaka ubongo!
Ameandika kiushabikiHuyo hana ajuacho.
Mpare hata Msambaa hampati.
Ameandika kiushabiki
Binti alishindwa kuendana na akili ya pesa ya mchaga , amazima fegi kiazi huyoMkuu
Japo sijaulizwa me ni mchaga wa machame upande wa Baba, Na mama ni kutoka old moshi,
Nashangaa sana huyu binti anasema wachaga ni wachawi , ni wachaga wapi hao anawaongelea
Hivi mshiki na monowama ni sawa eeh🤣🤣Ngamkumanya , mshiki😅
Eeeh ila kweli wewe ni good boy sina shaka na wewe kabisaSasa mtu amesha toka na mpare, mchaga , Mbulu, mkurya, mnyakyusa atakosa kupigwa matukio yanayo fanana na uchawi.
Mi mtakatifu bwana.
Hata hiyo 150 Mbaga hana!😆
Tuondoke.Kweli ? Nikuulize swali?