Makabila ambayo bora uwe single

Makabila ambayo bora uwe single

Embu taja indicators za huo uchawi uliopo upareni ili watu wajue.

1. Je kuna waganga wengi?
Uliwahi kusikia au kuona tangazo linasema mganga kutoka Upareni, Same, mwanga, au milimani ya pare ?

2. Matukio ya Mauaji ya Albino, vikongwe, kuchunwa ngozi, n.k. uliwahi yasikia huko upareni hata siku moja kwenye tangazo la radio?

3. Uliwahi sikia dawa kama limbwata au nyingine za kishirikina kutoka upareni? Kama ipo nitajie.

Kwa sisi tuliokulia Upareni huo uchawi uliokuwepo kule kwa sehemu kubwa ni wawageni walioletwa na mkonge(katani), makabila kama Wasukuma, Warundi, Wanyiramba, na jamii za kutoka Tanga.

Mna penda kwenda kwa waganga na sehemu zenu za kuroga ni miliman nime kaa na wapare nawajua sanaaa
 
Mkuu
Japo sijaulizwa me ni mchaga wa machame upande wa Baba, Na mama ni kutoka old moshi,

Nashangaa sana huyu binti anasema wachaga ni wachawi , ni wachaga wapi hao anawaongelea
Binti alishindwa kuendana na akili ya pesa ya mchaga , amazima fegi kiazi huyo
 
yani ulivyojieleza ni kama wachaga walikukosea sana yani wachaga tuwe wachwi kuliko kabila lako?? hii nchi uchawi ukiwa kwa mchaga wafipa wasukuma waha wakinga waseme nini? wachaga tuna asili yetu matambiko ni kuomba neema na sio kulogana wewe umeshajijengengea imani potofu kwaiyo chichote kikikukuta utasema umechukuliwa nyota au umelogwa.
 
Nimeona wanaume wa kanda ya titi waliooa uchagani karibia wote wanakuwa na mahusiano mabovu na familia/wazazi na ndugu zao.
 
Back
Top Bottom