Makabila ambayo bora uwe single

Makabila ambayo bora uwe single

1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao tu.
Pia ni wachawi sana sana hawana mfano.

2.Wachaga ni washirikina wanajua kukufanya usiwe na maendeleo .
Usijitambue yaani wakipeleka jina lako kwa mizimu yao kwisha upo upo tu .
Wajinga hawa . Hawapendi wenzi wao wawapite kwangu hiki nikisa cha kweli.
WAchukua nyota za wenzi wao nakuzitumia .

Jingine wao wanajua kunyapia chochote kizuri cha mwenzi wao wapo tayari kuwa na wanawake tofauti kukusanya riziki zao na nyota zao . Wakimya na hawapendagi kukuonyesha dalili yeyote ya mipangilio yeyote.
Hawana huruma huwa kufanikisha ndoto zao ilimradi familia yake ipate matunzo. Sio familia ya kwenye ndoa alipozaliwa .

Wachagga wanamila na desturi za kishirikina sana matambiko yao ni ya kifreemanson sana hadi inatisha akijua nyota yako nzuri anaichukua na kuitumia kwa mambo yake na hutojua .

Kabila lingine ni wambulu . Wao wanapenda kuteka watua akili wapo kama wapare .
Ni wachawi sana hawapendi wenzi wao wawasaidie familia alikozaliwa .
Ni yeye tu na ndugu zake .

Hawajatulia .
Hata kidogo . Wao wanawake kila daily .

Wakurya wao wanapenda kuweka kinyongo , hawajiamini wanaweza kuua mtu kisa kutomuamini mwenzi wake . Anampiga mwanamke kila daily
Hadi wanaua kwa wivu .

watu wakigoma na waluguru hawa ni balaa hawa watu ni wana roho mbaya sana .
Wachawi mnooo.
Hata wasukuma japo hao wanapenda wake zao ila kwa uchawi basi tu . Yaani wachawi .

NA wengine wanyakyusa .....
huna Akili
 
Mbali na kwamba me ni mchaga OG,
Nimezaliwa same na kusoma primary pale same, hawa jamaa kuhusu uchawi hawajasingiziwa
Hawa jamaa hapa chini wote ni wapare watakuja kujazia

Mbaga Jr
Vishu Mtata
Extrovert
Mshana Jr
Robert Heriel Mtibeli

Wapare hawawezi Ingia top 10 ya jamii zenye ushirikina na uchawi.

Hao uliowataja hapo wote wana ndoa ya mke mmoja. Tena sio chini ya miaka 10.
Na familia zinafuraha
 
Wapare na uchawi hamna mfano mpare na roho mbaya ni damu damu Half american

Embu taja indicators za huo uchawi uliopo upareni ili watu wajue.

1. Je kuna waganga wengi?
Uliwahi kusikia au kuona tangazo linasema mganga kutoka Upareni, Same, mwanga, au milimani ya pare ?

2. Matukio ya Mauaji ya Albino, vikongwe, kuchunwa ngozi, n.k. uliwahi yasikia huko upareni hata siku moja kwenye tangazo la radio?

3. Uliwahi sikia dawa kama limbwata au nyingine za kishirikina kutoka upareni? Kama ipo nitajie.

Kwa sisi tuliokulia Upareni huo uchawi uliokuwepo kule kwa sehemu kubwa ni wawageni walioletwa na mkonge(katani), makabila kama Wasukuma, Warundi, Wanyiramba, na jamii za kutoka Tanga.
 
Back
Top Bottom