comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,103
- 16,089
Kweli wapare ni maarufu, umewataja mara nyingi sana
Wewe ni mpare?Kweli wapare ni maarufu, umewataja mara nyingi sana
We mpishi mimi sio mpareWapare na uchawi hamna mfano mpare na roho mbaya ni damu damu Half american
Wewe ni mpare?
KimtindoWewe ni mpare?
Ana bifu kali sana na mchaga, mpare nawengine ilikua njia ya kumfikia mchaga.Kwamba Wachagga na Ushirikina siyo?🤔
Uzi wako generally unamlenga Mchagga hao Wapare na wengineo ni blah blah tu...
Karibu Uchagani Mrembo.
Nani mwingine?Kumbe! Duh pole sana kwake.. hayuko peke yake!
Safi bwasheeKimtindo
Duh......! Ngoja niperuzi maoni ya walioumizwa na uchambuzi wa mtaalamu wetu huyu.1.Wapare hawa ni watu hawataki upende familia yako au uwe karibu nayo wanataka wewe uwe naye na familia yake tu .
Wapo tayari wateke akili yako ili usiwe na akili ya kusaidia familia yako. Ni yao tu.
Pia ni wachawi sana sana hawana mfano.
2.Wachaga ni washirikina wanajua kukufanya usiwe na maendeleo .
Usijitambue yaani wakipeleka jina lako kwa mizimu yao kwisha upo upo tu .
Wajinga hawa . Hawapendi wenzi wao wawapite kwangu hiki nikisa cha kweli.
WAchukua nyota za wenzi wao nakuzitumia .
Jingine wao wanajua kunyapia chochote kizuri cha mwenzi wao wapo tayari kuwa na wanawake tofauti kukusanya riziki zao na nyota zao . Wakimya na hawapendagi kukuonyesha dalili yeyote ya mipangilio yeyote.
Hawana huruma huwa kufanikisha ndoto zao ilimradi familia yake ipate matunzo. Sio familia ya kwenye ndoa alipozaliwa .
Wachagga wanamila na desturi za kishirikina sana matambiko yao ni ya kifreemanson sana hadi inatisha akijua nyota yako nzuri anaichukua na kuitumia kwa mambo yake na hutojua .
Kabila lingine ni wambulu . Wao wanapenda kuteka watua akili wapo kama wapare .
Ni wachawi sana hawapendi wenzi wao wawasaidie familia alikozaliwa .
Ni yeye tu na ndugu zake .
Hawajatulia .
Hata kidogo . Wao wanawake kila daily .
Wakurya wao wanapenda kuweka kinyongo , hawajiamini wanaweza kuua mtu kisa kutomuamini mwenzi wake . Anampiga mwanamke kila daily
Hadi wanaua kwa wivu .
watu wakigoma na waluguru hawa ni balaa hawa watu ni wana roho mbaya sana .
Wachawi mnooo.
Hata wasukuma japo hao wanapenda wake zao ila kwa uchawi basi tu . Yaani wachawi .
NA wengine wanyakyusa .....
Amenisikitisha sana!😅Eti kutambika ndiyo ushirikina Shem....
Nachokaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Haya, nivwira ki mndughu wangu, herehoa? We ni WA thame kana mwangaWewe ni mpare?
Wachaga hatuna vibe la ngono kama la pesa na bat hiyo ipo damuniAna bifu kali sana na mchaga, mpare nawengine ilikua njia ya kumfikia mchaga.
MkuuMimi ni mchaga w kibosho asili yangu ya baba , mama ni msomali ila wa asili ya wachaga wa machame , mimi nimekulia marangu kwa babu mdogo, toka 87 mpaka 95 nilipo ondoka na mama manyara babati kipindi hicho ni Arusha
No huzuni😄😄😄Amenisikitisha sana!😅
Bwashee mimi ni mchaga og hizo mambo za herehoa acha kabisa 😅😅Haya, nivwira ki mndughu wangu, herehoa? We ni WA thame kana mwanga
Kibao tu humu wanahitaji kumuona daktari!Nani mwingine?