Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,440
- 74,056
๐๐ซ๐๐๐๐ฎ๐๐Kwamba da Mau hao wote umeishi nao? ๐น
Una list ndefu, una haki uwehuke..!!
๐๐ซ๐๐๐๐ฎ๐๐Kwamba da Mau hao wote umeishi nao? ๐น
Una list ndefu, una haki uwehuke..!!
Ndo naamka sa h ๐Shamba la wachawi sio! Mnalala asubuhi wachawi kama kawaida yenu๐
Mm pesa nnayo ila pesa ziko bank ๐Labda ka Mshana Jr ila sio huyu Mgonga ulimbo Jr nakataa ๐
Itakuwa walimnyoosha ๐Wachaga umewaandikia paragraph tatu kabisa
sina upareKukaataaa iyo kawaida yako
Unaamka kitajiri kabisa sio! Watu tushafika maeneo, tajiri yetu ndio unaamka๐ซกNdo naamka sa h ๐
Babu ataniua na uchawi wake ๐
Sisi tuone digits tu!Mm pesa nnayo ila pesa ziko bank ๐
na heading imesisitiza kabisa "bora uwe single"Itakuwa walimnyoosha ๐
Huyu alipigwa tukio na mchanga wake, hvy anawachukia Wachaga wote ๐na heading imesisitiza kabisa "bora uwe single"
Kulima ekari 10 ndani ya usiku mmoja unaona simple?Unaamka kitajiri kabisa sio! Watu tushafika maeneo, tajiri yetu ndio unaamka๐ซก
Wachawi mna kazi nzito, leo hakuna misukile?Kulima ekari 10 ndani ya usiku mmoja unaona simple?
Msukule wetu aligoma kufanya kazi, ana kiburi sana yule fala ๐Wa hawi mna kazi nzito, leo hakuna misukile?
Na ulimi mmemkata! Mkateni mb@o๐Msukule wetu aligoma kufanya kazi, ana kiburi sana yule fala ๐
Ah hicho kiungo hatuwezi kukata, hatuwezi kumuumiza mara mbili kiasi hicho ๐Na ulimi mmemkata! Mkateni mb@o๐
MnyatunzuWewe nj kabila gani hapo maana unahasira balaa
Usiolewe naoMbona wana roho mbaya sana๐๐ฝโโ๏ธ