Hii kali...Limbwata bar, iko kasulu
ban hiyoooooooooooo inakuja!
Mkuu kibanda cha mkaa maeneo ya barabarani au ndanindani..!Nyegeshwa Bar ipo Kibanda cha mkaa
Mkuu kibanda cha mkaa maeneo ya barabarani au ndanindani..!
Ndo nimemuuliza huyo huyo Mchwechwele, maana mi sijawahi kuiona hiyo baa na huwa natembelea sana maeneo yale.maeneo gani pale kibanda?
inawezekana mana tulikuwa wageni hapo dodoma......wenyeji ndo wakatupeleka hapo wakasema ni chako ni chako ukute na wao wenyewe hawajui vizuri.sister.Hiyo chako ni chako bar ina tazamana na satarday bar.
Huwa zina wachanganya watu maarufu sasa ni sat bar lakini watu wanaita chako ni chako bar.
Mkuu SONGOKA hiyo hai itwi kibhunu inaitwa chibhunu bar na iko Bunda sio Musoma
basi vizuri. huyo ndo atakuwa shemeji yangu. miahuyo ni ndugu yangu kabisa ndo maana anaitwa bitende