Majina ya bar

Majina ya bar

Sinza White Inn Area kuna Bar ilianzishwa ikaitwa SHIKAMOO PUB akaja mpinzani akaanzisha pembeni yake tu MARHABAA PUB! Wadau wote wakahamia MARHABAA.
Hao jamaa ni maadui wakubwa.
 
Katerero bar,ipo katerero.
 
sister.pole kwa kukupa njaa ya ghafla.
yani ilikuwa baada ya kazi jioni lazima tupitie hapo na kila nikifika dodoma lazima niende chako ni chako kuku wetu wa kienyeji na dompo wine. acha kabisa
 
bonyeza bar & guest house ipo ubungo external

Acha kutudanganya wewe,hiyo ni guest moja bubu haina jina iko uchochoro unaoelekea PATAYA GUEST HOUSE pale maeneo ya ubungo riverside.kilichopo pale ni kengere iko pale mlangoni,ili kutoa maelekezo kwa wateja wao wameandika bonyeza hapa wakimanisha kengere.Pale hamna bia inayouzwa.
 
Ifyatanga bar,boko.
Samaki samaki bar.
mkuu tz1 ile baa maarufu kwa kunyonga mbuzi inaitwa FYATANGA siyo Ifyatanga...

Kuna Zero Pub
Kuna Who Told You
Kuna If Not Why Not

Chezeya Baa za tegeta??
 
Last edited by a moderator:
mkuu tz1 ile baa maarufu kwa kunyonga mbuzi inaitwa FYATANGA siyo Ifyatanga...

Kuna Zero Pub
Kuna Who Told You
Kuna If Not Why Not

Chezeya Baa za tegeta??

Why not ni night club moja matata sana kule Swaziland kwa king mswati.Ina wadada wanacheza mziki naked kama ulaya vile.
 
matungusha bar
kilimani bar
matawi ya juu pub
mangi bar
mkulima bar
kifumbu hut
NEW ROYAL GROCERY ipo kimara baruti kwa bonge
 
Acha kutudanganya wewe,hiyo ni guest moja bubu haina jina iko uchochoro unaoelekea PATAYA GUEST HOUSE pale maeneo ya ubungo riverside.kilichopo pale ni kengere iko pale mlangoni,ili kutoa maelekezo kwa wateja wao wameandika bonyeza hapa wakimanisha kengere.Pale hamna bia inayouzwa.
Duuuuh Jf tuna wazefu wa kila aina.
 
Mtakuja bar,Dodoma.
Chako ni chako,Dodoma.

maeneo ya eapoti hayo,,,,dar ukiitaja chako ni chako nakumbuka dodoma,,,,ila pembeni kuna mtukwao guest haous,,,,,
ukienda area c kuna kwa mpepo,,,then maeneo ya makole kuna OMAX BAR,MACHAME BAR,CLUB LA-AZIZ,THEN EQUATOR BAR EAPOT,KIRAENI,MIAMI BAR EAPOT,
 
Back
Top Bottom