yaani ilibidi waje juu waonyeshe ni kwanini cdm wana wadharau vyama vingine wanajiona wao ndiyo upinzani wengine siyo waqkati wao ni genge la wahunitu ndiyo maana mama kaqashtukiaHalafu cdm wanaonyesha ubinafsi mkubwa sana wanajitaja wao tu exclusively kutaka kuonana na Raisi wakati raisi anataka aonane na ambrela ya vyama vya upinzani wote!
Nawashangaa sana kina Mbatia, zitto na lipumba kujipendekeza kwa hawa cdm wakati wao wanawachukulia very low.