Ripoti za Siri zimevuja
Cremlin kumewaka Moto, majasusi wanadai Marais wengi WA afrika ni vibaraka wanaotumiwa kuiba rasilimali za nchi zao kwa manufaa ya magharibi.
Majasusi wanasema viongozi wengi WA afrika Wana uraia Pacha hasa WA ulaya , Oman, Dubai, America, na wengi wanamiliki majumba huko.
Majasusi wanaendelea kusema viongozi hutumika kama madalali na magenge mabaya ya kudhulumu nchi zao na ndio maana huingia mikataba mibovu ya muda mrefu na ambayo hainufaishi nchi zao wametaja afrika haimiliki chochote kuanzia mbuga za wanyama, viwanja vya ndege, migodi, mashamba makubwa, wanasema afrika wamerudi kua watumwa kamili kuliko zamani.
Binafsi nampomgeza Traore kwa beji hiyo maalumu ya uaminifu kwa nchi yake
Cremlin kumewaka Moto, majasusi wanadai Marais wengi WA afrika ni vibaraka wanaotumiwa kuiba rasilimali za nchi zao kwa manufaa ya magharibi.
Majasusi wanasema viongozi wengi WA afrika Wana uraia Pacha hasa WA ulaya , Oman, Dubai, America, na wengi wanamiliki majumba huko.
Majasusi wanaendelea kusema viongozi hutumika kama madalali na magenge mabaya ya kudhulumu nchi zao na ndio maana huingia mikataba mibovu ya muda mrefu na ambayo hainufaishi nchi zao wametaja afrika haimiliki chochote kuanzia mbuga za wanyama, viwanja vya ndege, migodi, mashamba makubwa, wanasema afrika wamerudi kua watumwa kamili kuliko zamani.
Binafsi nampomgeza Traore kwa beji hiyo maalumu ya uaminifu kwa nchi yake