Kama wewe ni mhehe, hata kama ntakuzuia, utajiua tu maana kwenu kujiua ni ushujaa wa kuukimbia ukweli.
Ndugu, huna sababu ya kujiua, maana Mungu anayo sababu ya kukufanya uwe hivyo ilivyo. Cha msingi, stahimili, punguza wanaokutegemea na kama wapo isiwe katika kuishi bali katika kuwajengea uwezo, then kama umedate na wabebez hafu wote wakaugua severely, jitathmin, punguza mahusiano au wacha kwanza upumue.
Pia uwe mtu wa ibada japo yakupasa pia kuabudu kitu sahihi na siyo kufuata mkumbo, bali abudu katika roho na kweli, na biblia iwe kiongozi wako na siyo mwanadam maana wanapotosha walio wengi.
Mwisho wa siku utafanikiwa tu