Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 927
my mamy nipo full aisee,....we mzima mama
Last edited by a moderator:
mama shikamoo!
huu ni wakati wa kila abiria kuchunga mzigo wake,ohooo utaibiwa shauli lako,we mwanche baba azulule peke yake uone kama hayajakukuta
my mamy nipo full aisee,....we mzima mama
Ruhazwe JR,
Marahabaa
tatizo ni haya mapenzi ya mtandaoni hata my son anaona kabisa mama
hana maadili,
sorry my son.
Mimi ni mzima kabisa mama yako
leo nilikuta taiti na kazi za church
tumemaliza jioni hii.
Je upo upo tuongee kidogo pembeni?
charminglady nilikuwa nije ambassadors lounge ila mambo yakaingiliana, naangalizia home,
nakala kwa Elizabeth Dominic
tutaonana kesho mgeni akifika
Na kwa kuwa specific zaidi, hao akina Vin Diesel na Asprin wajitathmini wenyewe na wajiulize jina la kwanza kutajwa hapo ni la nani, hivyo wachanganye na zao!...ningekuwa mimi ndio wao ningejaribisha kwengine!
Ruhazwe JR usiwe na wasi wasi hapamama shikamoo!
huu ni wakati wa kila abiria kuchunga mzigo wake,ohooo utaibiwa shauli lako,we mwanche baba azulule peke yake uone kama hayajakukuta
Ruhazwe JR usiwe na wasi wasi hapa
Abiria anachungwa mbaya na hatoki hata kwenye siti Mamndenyi i love you sana sana
Love you tena na tena Mwahhaaa
Ruhazwe JR usiwe na wasi wasi hapa
Abiria anachungwa mbaya na hatoki hata kwenye siti Mamndenyi i love you sana sana
Love you tena na tena Mwahhaaa
Na kwa kuwa specific zaidi, hao akina Vin Diesel na Asprin wajitathmini wenyewe na wajiulize jina la kwanza kutajwa hapo ni la nani, hivyo wachanganye na zao!...ningekuwa mimi ndio wao ningejaribisha kwengine!