Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,432
- 746
Haswaaaaaa!!!!!
Kwahiyo upo single sasa...?Zingatia swali hili, tafadhali!
Haswaaaaaa!!!!!
sweetlady:Maisha ya nyumbani raha.Maisha ya unyumba karaha??
Unadhani wanafurahia uwepo wako hapo homie! Wanajiuliza daily lini utarudiana na your husbend.
Erickb52. Itifaki imezingatiwa: Sweetlady ndiye Charminglady?...so ana ID mbili ya ukazi wa Zanzibar na ya Utanzania?oh my....
Name calling mkuu.... Watch out!!!
Wewe sie ukoo wetu umeanzia hapo hapo kwa wazazi wetu... Mababu washarudi kwao walikotoka... Daddy na mummy hawawezi kuondoka kwani hawana kwao tena!!!
mmm! ukoo wako kama ukoo wa kumbikumbi teh,teh,
Ruhazwe JR hiyo ni just missing bana
Mamndenyi ni asali wa moyo wangu na yule siwezi kwenda kinyume nae nampenda sana sana
Copy Erickb52
. Shem niñi kinaendelea humu ndani?Sio udenda ila ni nafasi ya pekee ambayo nimekuwa nikiiomba itokee na kwa kuwa imetokea basi ni zaidi ya udenda watu8
Pia nafurahi kuwa mkwe wako na wa measkron
Nampenda sana charminglady na yeye ananipenda sema tu tulishindwa kuwa pamoja sababu ya vijimambo!
Hivi ule udongo na ndimu zaijaisha tu??? Nkuletee mwingine¿¿. Shem niñi kinaendelea humu ndani?
Ruhazwe JR hiyo ni just missing bana
Mamndenyi ni asali wa moyo wangu na yule siwezi kwenda kinyume nae nampenda sana sana
Copy Erickb52
sweetlady ni wa nitonye charminglady alikuwa wa C6 kanikabidhi na mimi nimempa uncle wangu wa kule BahiName calling mkuu.... Watch out!!!