Maisha ya nyumbani raha

Maisha ya nyumbani raha

Dena Amsi wapi wewe kiroho kinakudunda kila ukitaja jina langu hapo
hebu niambie ulifichwa na nani mpaka upotee hivyo mpaka nikampata my wife mwingine aise Mamndenyi hebu mwambie huyu Dena Amsi aache wasi wasi na kiroho papo
Mzee wa majungu nakuona Erickb52 unayapalilia tuu
 
Last edited by a moderator:
Dena Amsi wapi wewe kiroho kinakudunda kila ukitaja jina langu hapo
hebu niambie ulifichwa na nani mpaka upotee hivyo mpaka nikampata my wife mwingine aise Mamndenyi hebu mwambie huyu Dena Amsi aache wasi wasi na kiroho papo
Mzee wa majungu nakuona Erickb52 unayapalilia tuu

Wewe hujatulia na nilishakwambia kitambooo sana sikutaki sikuhitaji
 
Weekend umekaaje wanaCC ... mamboz....

Yaani tangu nimetoka kwa my hezbend C6 naenjoy maisha ya nyumbani.... Kula kulala rahajeeeeeee.... Kha kumbe nilikuwa nabanwa lol!!!!! Sitamani tena kuolewa... Jamani nyumbani raha kweli naenjoy sana na my lovely daddy watu8 na my lovely mummy measkron mpaka na my sis sweetlady anaona wivu...
Ngoja upewe mimba na mkata majani ndio utaona raha yake
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ahhh nishajua mbaya wangu ni nani aise anayenifitini kwenye kila kona nikienda ni Erickb52
Haya bnakuachia nafasi uendelee kufaidi mi najitoa kwenye mashindano bana
 
Last edited by a moderator:
Mr Rocky
images

Dena Amsi wapi wewe kiroho kinakudunda kila ukitaja jina langu hapo
hebu niambie ulifichwa na nani mpaka upotee hivyo mpaka nikampata my wife mwingine aise Mamndenyi hebu mwambie huyu Dena Amsi aache wasi wasi na kiroho papo
Mzee wa majungu nakuona Erickb52 unayapalilia tuu
 
Last edited by a moderator:
Weekend umekaaje wanaCC ... mamboz....

Yaani tangu nimetoka kwa my hezbend C6 naenjoy maisha ya nyumbani.... Kula kulala rahajeeeeeee.... Kha kumbe nilikuwa nabanwa lol!!!!! Sitamani tena kuolewa... Jamani nyumbani raha kweli naenjoy sana na my lovely daddy watu8 na my lovely mummy measkron mpaka na my sis sweetlady anaona wivu...

ulikuwa hujui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom